Kuna wanawake bila ya kumnasa kibao atamtukana hadi mama yako
ndo hivo mtukome, asubuhi nimempa mwanaume tik tak za kufa mtu kaondoka hadi sasa sijamuona, akirudi lazima atajuta kuwa na mimi,Huyo Joyce Kiria ni zaidi ya Mmachame kwa Ukatili na Kiburi.
Umlekodi atakavokuwa anaomba msamaha af uturushie hiyo audio clip ili umsapoti mwenzio Joyce, hapo mi ndo ntakoma! [emoji16][emoji16][emoji16]ndo hivo mtukome, asubuhi nimempa mwanaume tik tak za kufa mtu kaondoka hadi sasa sijamuona, akirudi lazima atajuta kuwa na mimi,
nshapiga toti mbili nataka niagize bapa akili ikae sawa ,nyie subirini hapo ntawapa mrejesho
Si arudi kwenye kazi yake ya zamani ya u - house girl kama ananyanyasika? Tangu zamani anataka kumtawala mumewe, lkn huku Afrika mfumo huo haupo. Mjinga sana huyu mwanamke yaani kila mtu akiamua Ku - share matatizo na ulimwengu wote kutakuwa na amani kweli duniani?
# Salum Mwalim - Kinondoni 2018.
Mwambieni naye hatutaki kumsikia analialia mitandaoni...eti sharing with my world...we are not her world...Baada ya Kupost Video yake Kwenye mtandao wa Kijamii Instagram , kulalamika anapigwa na mumewe wakati yeye Ndio anasimamia kila kitu ndani ya nyumba mpaka kodi ya nyumba wanayoishi analipa yeye.
Wadau mbalimbali waliotoa mtazamo wao kwa alichokifanya Ila mwanaharakati huyu wa wanawake alisema Hataki ushaur wa namna yoyote ile.
Nb
**Kama hawa Ndio mfano wa aina ya wanaharakati tulionao wanawake, Basi wanawake tunasafari ndefu Sana.
View attachment 681349
Hawa wabeijing kuanika nyumba zao wanaonaga ni sawa kabisa,Baada ya Kupost Video yake Kwenye mtandao wa Kijamii Instagram , kulalamika anapigwa na mumewe wakati yeye Ndio anasimamia kila kitu ndani ya nyumba mpaka kodi ya nyumba wanayoishi analipa yeye.
Wadau mbalimbali waliotoa mtazamo wao kwa alichokifanya Ila mwanaharakati huyu wa wanawake alisema Hataki ushaur wa namna yoyote ile.
Nb
**Kama hawa Ndio mfano wa aina ya wanaharakati tulionao wanawake, Basi wanawake tunasafari ndefu Sana.
View attachment 681349
Sasa kama ulimpa huyo Mume wako tiktak sisi tukukome kwa vipi?ndo hivo mtukome, asubuhi nimempa mwanaume tik tak za kufa mtu kaondoka hadi sasa sijamuona, akirudi lazima atajuta kuwa na mimi,
nshapiga toti mbili nataka niagize bapa akili ikae sawa ,nyie subirini hapo ntawapa mrejesho
Ntakutumia namba ya my Mr. umfundishe jinsi ya kunipiga na wivu wake ule....maana si kwa mingumi nazibuliwa usoni ( usoni anapenda sana ili aniharibu reception nisitongozwe[emoji23] [emoji23] [emoji23] )Hayo ndio madhara ya kumpiga mwanamke kitoz tozi,mwanamke anapigwa kwa style mbili
1.kelbu moja matata sana afu unawah kumbembeleza ,onyo ukimpiga kidogo hawachelewi kurudishia hawa hasa kizazi cha WhatsApp.
2.ukiona kelbi kazoea basi sasa unatakiwa kutoa dozi nzuri kwa umakini Mkubwa sana ili usimvunje popote na wala kuharibu sura kwa kuchanika,damu kuvilia ruksa,baada ya kipigo hicho ananyooka kwenu au safar itaanzia hospital ,hicho kipigo hakisimuliki hovyo hovyo
Nb ;kuna course fupi ya kumpiga wanawake kwa umakini wa hali juu.just pm me
Sasa kama ulimpa huyo Mume wako tiktak sisi tukukome kwa vipi?
Na tiktak zako na Mumeo zinatuhusuje sisi?
She is real....a GOLD DIGGER...shule hana anataka ufahari[emoji3][emoji3]huyu namtazama kwa jicho la ki Gold Digger.
yani hii ni sawa na padre kuwashauri wanandoa.Ama kweli mganga hajigangi....kumbe mwanaharakati na mtetezi wa wanawake anapigwa na mumewe?