Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Women are very complicated creatures. Kama ni Akili nyingi basi zitumie unapoishi na hawa Viumbe na hasa hasa hawa waumini wa 50/50.
 
Umeelezea kama vile wewe ndio mume, unaongelea maisha yao ya ndani kabisa. Hebu sema vizuri basi[emoji85] [emoji85] [emoji85]

espy bwana nimecheka kwa sauti.
Unajua watu wakiongelea ndoa unachukua ya kwako, ya rafiki yako, ya ndugu, ya Dada, ya kaka, kisha unaichambua inafanana na IPI kati ya hizo.

Kuna watu wanaishi km J wkt mume km K na nawaona tuu wanavyojikaza hapa mjini na wakiwa kwenye vigari vyao wamenuna km wana Carry ya Qms.
Mimi siyo K bwana kila naeleza ukweli
 
Hahaaaaaaaaaaa aiseee yaani nimemshusha kabisa thamani
Sijawahi mwelewa akifanyacho kabisa. Lengo kuu la maisha ni watu kuishi kwa kuvumiliana. Yeye huwashauri wenzie watengane ilhali yeye hamwachi mwandani wake pamoja na kipigo. Anatafuta umaarufu kupitia matatizo ya wenzie! Shameless idiot woman. Huyu atakuwa wakala wa shetani tu.
 
Hakuna mwanaharakati wa namna hii huyu ni bongo muvi
 
Duuuh pole, alikuwa mpenzi au mume
 
Ntakutumia namba ya my Mr. umfundishe jinsi ya kunipiga na wivu wake ule....maana si kwa mingumi nazibuliwa usoni ( usoni anapenda sana ili aniharibu reception nisitongozwe[emoji23] [emoji23] [emoji23] )
Basi tiba kapata ,saizi utapokea kipigo kikali bila kuharibika usoni wala kuvunjika popote .nipe no yake pm ,nakuahidi hatojutia muda na pesa yake. Mwanamke sura bana
 
Salum Mwalimu ni 2020 au 2018??
 
Mbwembwe na harakati zote hizo si wangejenga chumba na sebule. Afanye harakati kote lakini asahau kupata NDOA bora hapa Duniani. Kila wanandoa wana yao huko ndani ila wanavumiliana

Hahahhahaa balaaa
 
Kwa wanaomfahamu vema J hawaumizi kichwa
 
Ishi kwa mumeo ukiwa na ziada weka benki pesam
 
Huyo ndo mwanamke halisi, kosa lake tu ni kuweka hadharani. Kitu chochote akifanyacho mke au kabla ya mume hakiwezi mwacha salama mume. Adam kwa Eva ilikuwa ze semu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…