ukimuoa mwanamke mwanaharakati ni kazi sana kuishi nae, atakupeleka kiharakatiShe is stubborn in nature,alimsema dj Nelly hivyo hivyo ,now anamsema tena mmewe wa sasa kuna kitu huyu dada kimepita pembeni
du!!!Mjirekebishe kwenye kujua kusimama kama wanaume. Sio kila kitu mfanyiwe ndani ya nyumba.
nyie wanawake wanaharakati hamfai kwa matumizi ya ndoa, nyie ni kwa show time tuKheeee nalipa bills pyeee never ever ever
... mwanaume abebwi never ..
Kwa kweli MUNGU ATUPUNGUZIE HII ADHABU JUU YA HAWA VIUMBE......NA WATU WANADANDIA TU KWA MBELE HAYA MAMBO KWA KUWASIKILIZA WANAWAKE BILA KUSIKILIZA UPANDE WA PILI..TUNANYANYASIKA SANA MAMBO YAKIYUMBA KULIKO WATU WANAVYOFIKIRIA....Nina brother yangu mmoja hivi akikupa story yake utalia,yaani wameoana wakiwa bado wadogo tuu jamaa anafundisha demu ndio yuko form three nadahani hapo demu ana miaka 18 tuu,wakasoma hivyo hivyo kwa kujiendeleza kila mmoja baadae akawa vyema kielimu na career,sasa mambo yameenda wakajenga na watotot wakubwa tu wanasoma shuke,huku na huku mambo ya mjomba Magu tena,bro kapunguzwa kazini akawa yuko home tuu,aiseee! bro anakwambia pale home ilibidi nimfukuze mlinzi wa kimasai ambaye nilikuwa nimemwajili ilibidi mimi ndio niwe mlinzi maana maana mawazo mengi inafikia mahari analala karibu saa sita saa tisa anaamka anaanza kuwaza kesho itakucha vipi,shem analeta zengwe balaa,na baadae tena kaanza kuleta za kugawana vitu yaani nyumba naw ndio inaviziwa iuzwe,bro anakomaa kila siku apate mishe ila anakwambia mambo ninayo yaona hapa home kuna hati hati ya kuwekewa hata sumu kwenye msosi
Wakuu miaka ya leo ukiwa unaishi na mwanamke,kuwa makini sana,mawakili na mahakimu wanajua as we go kesi zinazo trend za wanawake wakigombea kugawana mali na waume zao.
Swali ni je aliwahi kuwa na pesa?Ishiwa tujue tabia ya mkeo
Huna akili.ndio Joyce nimekubali,
wengi mnajidai mnashauri,hamjui anacho experience,kama hujaolewa olewa uone mziki wake
Wanabadilika mzee wala usijidanganye....Ogopa mwanamke unayedhani/kumuona ni sahihi maana Huyo ndiye atakuliza maumivu yasiyo kwisha...Kwa sababu Utamuamini na hapo ndiyo kosa tunalofanya Wanaume...Daahh,kweli wanaume inabidi kutuliza akili sana kuchagua mwanamke wa kuoa.
Mwanamke yeyote anaweza kuwa Nyoka Ndani ya Nyumba....hakuna cha aliyeachika/ambae hajaolewa kabisa ni Suala la Muda TuMkuu, ulimaanisha wanawake waliokwisha kuachika ama?
Mwanamke aliyeachika mi sioi hata kama angekuwa mzuri kama malaika !!!
Ndoa na Iheshimiwe na Watu wote!....ni mpumbavundio Joyce nimekubali,
wengi mnajidai mnashauri,hamjui anacho experience,kama hujaolewa olewa uone mziki wake
Hakuna mwanamke wa kichaga atakuvumilia pindi ukiishiwa pesa
Kwetu ukioa mchaga utafukuzwa naye maana mkifulia matatizo ukifanikiwa akuue achukue Mali so bora nn
Una umri gani?Kupigwa hata mim ningekutangaza CNN but maswala ya financial pia sikutangazi naondoka kimya kimya utakaaje na MTU hana hela? Aise ni ngumu...mwanaume tafuta hela ndio sifa yako kubwa ukishindwa hilo kavae skert tuu
Kama wakoUna umri gani?