Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Mjirekebishe kwenye kujua kusimama kama wanaume. Sio kila kitu mfanyiwe ndani ya nyumba.
du!!!
iyo ni kodi tuu vp ngekua naendesha gari yako? naona ungemtafta salm kikeke kabisa

mi kwangu yf ndo ananunua chakula sikuzote lkn hajawai kuntangaza
M ela angu nafanyia mambo mangine kwa faida ya family

ni kawaida kwe ndoa mbona
 
Ni ngumu sana kuhimili vishindo vya Mke alieamua kujifyatua akili!
 
Nina brother yangu mmoja hivi akikupa story yake utalia,yaani wameoana wakiwa bado wadogo tuu jamaa anafundisha demu ndio yuko form three nadahani hapo demu ana miaka 18 tuu,wakasoma hivyo hivyo kwa kujiendeleza kila mmoja baadae akawa vyema kielimu na career,sasa mambo yameenda wakajenga na watotot wakubwa tu wanasoma shuke,huku na huku mambo ya mjomba Magu tena,bro kapunguzwa kazini akawa yuko home tuu,aiseee! bro anakwambia pale home ilibidi nimfukuze mlinzi wa kimasai ambaye nilikuwa nimemwajili ilibidi mimi ndio niwe mlinzi maana maana mawazo mengi inafikia mahari analala karibu saa sita saa tisa anaamka anaanza kuwaza kesho itakucha vipi,shem analeta zengwe balaa,na baadae tena kaanza kuleta za kugawana vitu yaani nyumba naw ndio inaviziwa iuzwe,bro anakomaa kila siku apate mishe ila anakwambia mambo ninayo yaona hapa home kuna hati hati ya kuwekewa hata sumu kwenye msosi
Wakuu miaka ya leo ukiwa unaishi na mwanamke,kuwa makini sana,mawakili na mahakimu wanajua as we go kesi zinazo trend za wanawake wakigombea kugawana mali na waume zao.
Kwa kweli MUNGU ATUPUNGUZIE HII ADHABU JUU YA HAWA VIUMBE......NA WATU WANADANDIA TU KWA MBELE HAYA MAMBO KWA KUWASIKILIZA WANAWAKE BILA KUSIKILIZA UPANDE WA PILI..TUNANYANYASIKA SANA MAMBO YAKIYUMBA KULIKO WATU WANAVYOFIKIRIA....
 
Daahh,kweli wanaume inabidi kutuliza akili sana kuchagua mwanamke wa kuoa.
Wanabadilika mzee wala usijidanganye....Ogopa mwanamke unayedhani/kumuona ni sahihi maana Huyo ndiye atakuliza maumivu yasiyo kwisha...Kwa sababu Utamuamini na hapo ndiyo kosa tunalofanya Wanaume...
 
Feminist na ndoa wapi ma wapi? Turning your fan base against your husband? Kwa akili hizi huyu mama alideserve kupigwa!
 
Sasa Joyce ulivyoenda kulia kwa public ndio kuondoa tatizo?

Sikubaliani na mwanaume anaepiga mwanamka hata siku moja! Ila njia uliotumia sio sahihi Joyce,
Haya Sasa mambo ya kodi ya nyumba kulipa wewe yanatuhusu nini kutuletea kwa media?

Joyce unamatatizo wewe wala sio mumeo,
Hivi Joyce unakumbuka ulivyokuwa unamdhalilisha DJ Nelly kwa kudai talaka public?
Hivi Joyce unakumbuka ulifanya part kwa kufanikiwa kupata talaka yako kutoka kwa DJ Nelly??
Sasa nataka nikukumbushe tu malipo yooote ya ubaya ni hapa hapa duniani, ila HUKUMU ndio kwa MUNGU!
"What goes arround ,comes arround"
 
Kuna kipindi huwa nasema ni Bora Instagram na Facebook zifungwe tu Bongo kama ilivyo nchi nyingine.
Imekua very easy kwa mtu kumdhalilisha mtu jinsi anavyojisikia, yale yale ya kina lemutuz.
Joyce acha Utoto, ww ni mwanamke, mama wa familia na Mama wa watoto wengi tu.

This isnt right at all
aca4d4b5ce696c5c9349bd6213b7f4bd.jpg
a6c6ec7f6d42124e327d14b5f7af7a3f.jpg
cf7fae1483b1cc89a82535ab8c84ceeb.jpg
 
Hakuna mwanamke wa kichaga atakuvumilia pindi ukiishiwa pesa

Kwetu ukioa mchaga utafukuzwa naye maana mkifulia matatizo ukifanikiwa akuue achukue Mali so bora nn
 
Kupigwa hata mim ningekutangaza CNN but maswala ya financial pia sikutangazi naondoka kimya kimya utakaaje na MTU hana hela? Aise ni ngumu...mwanaume tafuta hela ndio sifa yako kubwa ukishindwa hilo kavae skert tuu
 
Hakuna mwanamke wa kichaga atakuvumilia pindi ukiishiwa pesa

Kwetu ukioa mchaga utafukuzwa naye maana mkifulia matatizo ukifanikiwa akuue achukue Mali so bora nn


Acha uqm
 
Back
Top Bottom