Baada ya ndoto za kufanya shopping dubai na pairs kuyeyuka kutokana na mme kukosa ubunge hayo ndio matokeo hana akili kabisa alifikiri ndoa ni yale makaratasi mpuuzi kweli huyo mdada anaanika mambo yake na mmewe hadharani ili iweje? Afu yule jamaa mpole na handsome balaa ngoja wadada wa mjini wamnyakue ndio atajifunza adabu alijua ndoa kula keki na kucheza kwaito na kupokea zawadi na kuzaa awe na heshima ukimuanika mmeo umejianika na wewe pia si mnasema watu wakioana ni mwili mmoja uyo jamaa mvumilivu kile kimama kidomo mfelembe kweli kana gubu ndio maana kimekomaa amuache akatafute wenye hela,
Heri ukosee kujenga Na sio kuo[emoji119]
Super woman my foot!! [emoji57][emoji57]