Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Nina brother yangu mmoja hivi akikupa story yake utalia,yaani wameoana wakiwa bado wadogo tuu jamaa anafundisha demu ndio yuko form three nadahani hapo demu ana miaka 18 tuu,wakasoma hivyo hivyo kwa kujiendeleza kila mmoja baadae akawa vyema kielimu na career,sasa mambo yameenda wakajenga na watotot wakubwa tu wanasoma shuke,huku na huku mambo ya mjomba Magu tena,bro kapunguzwa kazini akawa yuko home tuu,aiseee! bro anakwambia pale home ilibidi nimfukuze mlinzi wa kimasai ambaye nilikuwa nimemwajili ilibidi mimi ndio niwe mlinzi maana maana mawazo mengi inafikia mahari analala karibu saa sita saa tisa anaamka anaanza kuwaza kesho itakucha vipi,shem analeta zengwe balaa,na baadae tena kaanza kuleta za kugawana vitu yaani nyumba naw ndio inaviziwa iuzwe,bro anakomaa kila siku apate mishe ila anakwambia mambo ninayo yaona hapa home kuna hati hati ya kuwekewa hata sumu kwenye msosi
Wakuu miaka ya leo ukiwa unaishi na mwanamke,kuwa makini sana,mawakili na mahakimu wanajua as we go kesi zinazo trend za wanawake wakigombea kugawana mali na waume zao.
 
Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.

Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.

Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Wanaume tunahesabika bibie,
 
Tena huyo mume haja mbonda kampapasa ! Ilitakiwa amtoe jicho au meno. Alichangia sana kugawa wpinzani. Ni yuda th huyo.malipo ni Galapagos duniani.chadema hupo ccm hupatikani.ukome domo kaya wahedi wewe.kujidai kote huko bado unapanga???? Ccm hawakuwanunulieni nyumba??? Na bado ! Christina shusho na wewe mtaumbuka sana tu.bila kumuacha wa rihabu rose muhando
 
Alikosa hata kitambaa cha kujifutia? Aaaaghrrrr!
 
Joyce Kiria ana laana ya kwao. Alishakosa adabu tangu utotoni akaachiwa laana na bibi yake kule Old moshi - Mowo

Tena Mwanaume ukimuoa huyu utafilisika haraka sana na kupoteza direction ya maisha.
 
Sipendi umbeya lakini siwezi kuacha nafasi ya kuwakumbusha masela kwamba hawa mademu/wake they are in it for the money.
 
Anataka sympath na attention.
Mie nimeshindwa kumuelewa kabisa etu nalipia kodi ya nyumba,who are you usilipie kodi ya nyumba??? Hata angeishi peke ake angelipa Hiyo kodi,mbona mwanzo ambavyo hakulipa hajatangaza kama mumewe is responsible analipa kodi ya nyumba? Such a blood kabich,anatutangazia hali ngumu kwani haoni kwa kila mtu hali ilivyo? Analalamika yeye anatake responsibility ni nani katika familia anayoi hudumia?? Si ni mama!!!! Joyce such a damn kabich.
Nime amini ana akili za house girl kuinama na dekio apige deki tu.
 
Back
Top Bottom