sankara2005
Senior Member
- Dec 30, 2017
- 100
- 34
Hajielew hyu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba nimtetee ndugu Yericko Nyerere,hiyo ni talent yake UANDISHI,si kwasababu ya hali mbaya ya uchumi.Watu wa ndani wamegusia kuwa hali tete Kiuchumi pia imemkumba Yerico Nyerere ambae siku za karibuni amekuwa akiuza vitabu ili kuweza kujikimu.
Naona una vimaneno vya busara kwa mbaaaaliMwanaume habadilishwi kwa malalamiko ya mitandaon yeye Kama anaona Maisha yameshabadilika angeomba talaka baada ya hapo yeye Kama mwanaharakati angetoa Hiyo video ya blah blah zake kuwashaur wanawake wasikae Kwenye ndoa za mateso wafanye maamuzi magumu .
Hivi kila mwanamke akiaza kujirecord nakutupia matatizo yake na mume wake kwenye mitandao si patakuwa hapatoshi.
Ajabu sanaaSasa kama hatakii kushauriwa nini ilikuwa lengo lake kutuwekea video.. Angekaa nayo ndani tu
Nimekupm now mkuuBasi tiba kapata ,saizi utapokea kipigo kikali bila kuharibika usoni wala kuvunjika popote .nipe no yake pm ,nakuahidi hatojutia muda na pesa yake. Mwanamke sura bana
Apigwe aumizwe akae kimya, kwasbabu aliyempiga ni mchaga na katibu wa CHADEMA.
Wakati Hemedi yule alieenda na Lowassa alipewa shavu la kukaa na mgonjwa Tundu Lisu kwa miezi 3 anakula tu perdiem hapo NairobiMange Kimambi ameshangazwa na hali ya Kiuchumi ya makamanda na kuhoji kwa nini makamanda wanaojitoa kwa moyo wote hawathaminiwi kwa kulipwa mishahara.
Mange ametoa rai hiyo kufuatia hali mbaya ya KIFEDHA inayowasumbua makamanda wengi akiwemo HENRY KILEWO ambaye mke wake JOYCE KIRIA (Mwanaharakati wa haki za wanawake) amelalamika kuhusu ukata unavyoisumbua familia huku majukumu muhimu kama ada na chakula yakitimizwa na Joyce bila msaada wa KILEWO.
Baadhi ya majirani wa HENRY KILEWO wamepata mashaka kuwa iwapo KILEWO atapata ubunge Mwanga 2020 iwapo atawahudumia wananchi au tumbo lake. Watu wa ndani wamegusia kuwa hali tete Kiuchumi pia imemkumba Yerico Nyerere ambae siku za karibuni amekuwa akiuza vitabu ili kuweza kujikimu.
Hali tete Kiuchumi kutokana na kutothaminiwa kwa makamanda kumepelekea baadhi ya makamanda kujiona kama makarai na kuamua kuacha siasa au kuhamia vyama vingine.
MANGE KIMAMBI ameitaka CHADEMA kuwaingiza kwenye Payroll makamanda na kuacha kuwakatisha tamaa huku Watu wachache wakinufaika.
Tuwakome kwani tunaishi na ninyi au tumewaoa?yan sisi wamachame ndo mtukome, sisi wanawake ni zaidi ya wanaunme
Hata nikijenga.....aina ya mke wa hivi wala sitamwambia wala kumuonesha hiyo nyumba...... House Girl elements never quit.....Kumbe bado wanapanga, wajenge yao sasa!
Akili kichwaniHalafu nashangaa haombi talaka Kama anavyoshaur .au ampeleki Mahakaman huyo mume wake kwa Kosa la kumpiga kama alivyokuwa anashupalia waume wa wenzake.
Pamoja na yote she dosent deserve kupigwa...Baada ya Kupost Video yake Kwenye mtandao wa Kijamii Instagram , kulalamika anapigwa na mumewe wakati yeye Ndio anasimamia kila kitu ndani ya nyumba mpaka kodi ya nyumba wanayoishi analipa yeye.
Wadau mbalimbali waliotoa mtazamo wao kwa alichokifanya Ila mwanaharakati huyu wa wanawake alisema Hataki ushaur wa namna yoyote ile.
Nb
**Kama hawa Ndio mfano wa aina ya wanaharakati tulionao wanawake, Basi wanawake tunasafari ndefu Sana.
View attachment 681349