Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Nauliza tu sista, hivi wanaume wa hivo mnawapendeaga nini??

Ooh nimekumbuka, wenyewe mnasemaga wako romantic, na mnapenda hiyo kitu, teh!!
Wanaume wa vipi kaka?
 
Si kwa kujiliza vile Joyce[emoji23] [emoji23] [emoji23] ....

Ndo tumejua kuwa Kilewooo ni mariooo la makinikia!

Anaunga tela na akina mb...a..sha, harbashi
Hahahaaaa!! Na wataumbuliwa woote, acha wajibweteke tu.
 
espy bwana nimecheka kwa sauti.
Unajua watu wakiongelea ndoa unachukua ya kwako, ya rafiki yako, ya ndugu, ya Dada, ya kaka, kisha unaichambua inafanana na IPI kati ya hizo.

Kuna watu wanaishi km J wkt mume km K na nawaona tuu wanavyojikaza hapa mjini na wakiwa kwenye vigari vyao wamenuna km wana Carry ya Qms.
Mimi siyo K bwana kila naeleza ukweli
Ooooh kumbe!!
Basi mjikaze tu.
 
Mbona hasemi hicho kipigo kimetokana na nini?
Jata ikimlazimu kusema, hawezi eleza ukweli. Daima atakuja na story za kijifanya innocent kwenye kadhia hio believe me!
 
wanawake bwana sijui kwa nini,mkishindana kwenye kila aspects ya maisha lazima aseme eidha ulikuwa una mtaka sasa amekukatalia,kama ni mtu na mkewe mkishindana kidogo kama kuna siku alinunua chumvi basi unalo!
 
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!

Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.

Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)

Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.

Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!

Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.

VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba


Kichapo juu ya kichapo, hapana chezea. Mara moja moja siyo mbaya.
 
Hivi hii ndoa ni ile ya kwa shida na raha?!
Kwa nini mtu usichape lapa kama unaona hafai badala ya kufanya upuuzi kama huu wa kujianika duniani?!, lengo nini haswa, kwamba Walimwengu wamsaidie ama?!..
Huyu stress zilimzidia akaona hii ndio njia ya kuzitoa, sasa hayo ya shida na raha watajuana wenyewe. Sie tushajua Kilewo ni marioo.
 
"let's keep going 'regarding' challenges"
kidhungu hiki..naona nirudi kwa ras simba
 
mwenye shida ninan unataka mwanaume akaibe akuridhishe? kwan wakat mnaoana alikuja jf au insta? kama ulikuwa unauwezo wakulipa kod ulikubali akuoe kwann? mnachujisha watu kisa tamaa zenu ndo kawaida yenu karibu wote ukimzid kipato mmeo atakama yeye ndo kakupa kaz lazima atadharauliwa tu au ao watoto ungezaa kwa uwezo wa roho mtakatifu
 
Mnamlaumu bure tu mwenyew alishasema hajasoma so hata akili yake anaijua mwenyew tu.
 
Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.

Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.

Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Mkuu,watu wanavyoishi kkwenye mahusiano hasa ya ki ndoa wewe ufanye lipi na mimi nifanye lipi ni mambo ya kawaida tuu sema baadae watu wakigombana ndio inakuja kuonekana fulani anabebwa na mkewe,mfano siku hizi ni kitu cha kawaida tu watu kuoana wakiwa hawana kitu au unaweza ukawa una kitu ila badae ya dunia yakageuka mwanaume ukabaki huna mishe maalumu japo unaendelea kuumiza kichwa na kujishughulisha ili upate chanel iliyo kaa sawa,sasa imagine wew kama mke wangu una mishe amabyo ni stable,Allahamdulillah mambo yako sio mabaya,sasa unaanzaje kuja kumnyanyasa mumeo kwa wewe kulipa bills nk,ina maana wewe wakati huyu jamaa anakuoa ulikuwa hujui kuwa kuna ups and downs,na ni ngumu sana kwa hulka za wanaume yaani yeye awe hana mishe alale tuu akusubirie wewe uje umpe chakula,yaani ni ngumu sana,atapiga hata kalai la zege walau arudi hata na ka mia japo hjakufikia wewe,Sasa hapo unaweza ukakuta jamaa anakuvumilia tuu huku anapigana siku akipata ndio utaanza kuja kusema mwanaume alikuwa hana mishe tulikuwa tunaishi kwa amani leo kanigeuka,kumbe wewe ndio ulikuwa unaanza kumvua nguo wakati yuko majalala
Hivi unadhani huyu jamaa angepata huo ubunge akawa na life zuri huyu mdada leo hata kama jamaa angemzibua unadhani angedirliki kusema kuwa jamaa mimi ndio namlea,kwanza hata hicho kipigo angechuna nacho tu kimya kimya
UMekubali kuolewa lazima ujue kuwa lolote linaweza tokea,leo suti kesho lubega,kama mwanamke mwenye maadili stay strong nyakati zote mumueo akifulia piga goti chini omba kwa Mungu mambo yakae sawa tena,mmekunywa maji mkalala kesho mkifanikiwa huyo mumeo atakushukuru na kukukumbuka,maana wanasema dua au maombi ya mke juu ya mumewe Mungu Huwa anayapokea kwa haraka zaidi,yaani siku hizi hatuishi na wanawake tunaishi na ma vampire yenye sura ya kibinadamu
 
Huyu stress zilimzidia akaona hii ndio njia ya kuzitoa, sasa hayo ya shida na raha watajuana wenyewe. Sie tushajua Kilewo ni marioo.

[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Jamani kaka wa watu, watu washajua ni marioo na mpiga wanawake. Hizi ndoa nakwambia kuna yanayoendelea mengi tu, mweeh!!!
 
Back
Top Bottom