Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Mi ningemtwanga zaid af nisepe... Atangaze vizuri. Wakati namtwanga namrekodi na sim yake live...
 
mara nyingi usimwamini mwanamke anapokwenda mbele ya watu nakusema mambo ya ndani ya maisha yao si mwanamke mzuri halafu wanawake kama joyce utaishi nae kwa raha na utampa kila kitu lakini pindi akipata bwana mwingine akampenda basi ukimgusa tu atatafuta sababu akuaibishe mbele ya umma atasahau yote uliyomfanyia na atakuzushia mambo mengi yalinikuta haya mke wangu wa ndoa nilikuwa nampa kila kitu mpaka gari la kifahari 4x4 anaenda nayo offisini lakini ni bure leo hanijui
pole
 
Wanawake wanasikitisha sana. 95% ya wanaume kwenye ndoa ndio wanaolipia:
[emoji830]Pango
[emoji830]Chakula
[emoji830]Karo za shule
[emoji830]Nguo za familia
[emoji830]Usafiri wa familia
[emoji830]nk.
Lakini hata siku moja hutawasikia wanaume wanalalamika gharama zinazowakabili.

Sasa tetereka kidogo tu katika kipato chako halafu mke alipe yeye pango la nyumba. Dunia nzima itajulishwa.

Ni nini hiki?
selfishness na utaambiwa ni vitabu vya Mungu vimeagiza.hatuna maneno wanaume
 
Wasubiri tumalize deni la billion 700 za mwenyekiti..tutaanza kuwalipa tu..
 
Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.

Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.

Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Hivi Dada ulishasikia au kuona Mtu kakwama!?Huyo jamaa hana sehemu ya kujibu na si sahihi kwa Mwanamme kujibizana..lakini kama mkiwa mnapata fursa za kusikiliza Upande wa pili Haki wanaume tunateseka mno.....!!Joyce alichokifanya si kitendo cha Ndoa/Uungwana....!mwanamke anayetambua Kuwa yeye Ni Mke Wa Mwanamme aliyempenda na akachagua kufunga nae pingu za maisha.. siyo rahisi kufanya kama alivyofanya Bi Joyce.
 
Kuna muda mke anatamka neno au sentensi fulani ambayo namna ya kumuonyesha asije kurudia kufanya hivyo ni kumnasa kibao tu tena iwe kelebu af baada utamuomba msamaha na uhakikishe amejua kwanini umemtandika vile!
Yaani umpe kelebu alafu tena uombe msamaha,!!! Utakua hujasolve tatizo
 
Kwa uzoefu wangu mdogo nimeona mwanamke mwanaharakati ni ngumu ngumu sana kuweza kuishi naye.

Mmoja ni shemeji yangu kabla hajaingia huko walikuwa na maelewano makubwa na mmewe.
lakini baada ya kuingia huko mumewe kaamua kuacha familia yake na kwenda kuanza maisha upya.
 
Hee naona humu wengi wanafurahia mwanamke kupigwa. Uwe na mtoto Wa kike akue aolewe na yeye adundwe na Mume wake mtaona sawa? Yes ana matatizo yake ila mwanamme Wa kupiga hapana. Kwa huwa haachi anaomba Msamaha baadae anaendelea yaleyale. Mimi unidunde najua siwezi kupigana ila huko nje nakukodia watu na wewe wakudunde ujue maumivu ya kupiga.
Ukiona mwanamke hapigwi jua huo ana akili sana au mwanaume ni mjinga sana
 
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!

Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.

Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)

Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.

Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!

Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.

VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba



wanaume wenzangu tuwe makini kuoa hasa wanaume waliokwisha kuachika
 
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!

Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.

Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)

Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.

Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!

Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.

VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba



wanaume wenzangu tuwe makini kuoa hasa wanaume waliokwisha kuachika
 
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!

Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.

Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)

Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.

Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!

Ndo maana mimi sipendi wanaume wa CHADEMA bora wazee wa Lumumba buku saba daily sio mbaya.

VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba



wanaume wenzangu tuwe makini kuoa hasa wanaume waliokwisha kuachika
 
huyu mwanamke ana matatizo sana,analazimisha kuishi maisha ya ghali ilihali kipato hakikidhi,wanawake mna shida kama huyu ndio mwanaharakati wenu
 
Mange Kimambi ameshangazwa na hali ya Kiuchumi ya makamanda na kuhoji kwa nini makamanda wanaojitoa kwa moyo wote hawathaminiwi kwa kulipwa mishahara.

Mange ametoa rai hiyo kufuatia hali mbaya ya KIFEDHA inayowasumbua makamanda wengi akiwemo HENRY KILEWO ambaye mke wake JOYCE KIRIA (Mwanaharakati wa haki za wanawake) amelalamika kuhusu ukata unavyoisumbua familia huku majukumu muhimu kama ada na chakula yakitimizwa na Joyce bila msaada wa KILEWO.

Baadhi ya majirani wa HENRY KILEWO wamepata mashaka kuwa iwapo KILEWO atapata ubunge Mwanga 2020 iwapo atawahudumia wananchi au tumbo lake. Watu wa ndani wamegusia kuwa hali tete Kiuchumi pia imemkumba Yerico Nyerere ambae siku za karibuni amekuwa akiuza vitabu ili kuweza kujikimu.

Hali tete Kiuchumi kutokana na kutothaminiwa kwa makamanda kumepelekea baadhi ya makamanda kujiona kama makarai na kuamua kuacha siasa au kuhamia vyama vingine.
MANGE KIMAMBI ameitaka CHADEMA kuwaingiza kwenye Payroll makamanda na kuacha kuwakatisha tamaa huku Watu wachache wakinufaika.
Jambo jema kupigania haki zao but Joyce Kiria ameshindwa kuitendea haki ndoa yake.She was not supposed to post such non sense to the media.
Vinginevyo, wanaharakati wa CDM wanastahili kuenziwa ili waendelee kupambana.
 
Hovyo sana...kulipa kodi ndio anajiona sijui nn..mpk umdhalilishe mwenzio tena wa ndoa.alivyoapa kwa shida na raha ...alidhan maigizo..wkt anapewa good tym mbona hakusema..pumbavu...angejua kwenye uvumiliv kuna mbivu asingejochoresha...mwanamke unatakiwa uwe na stara...mstiri mumeo na shida zake.hajui huyo ni baba wa wanae...na iko kipigo kakipata sababu ya dharau...ukiishi na mwenzio vzr kipigo utakisikia...
Nimekupenda sana...umeolewa?
 
Mwanamke inabidi uwe wa kwanza kujua Hali ya Kipato cha mumeo na uweze kuish kulingana na wakati Unajua Kabisa Hali ya mume wako ni tete Unakubali Kuish Vipi kwenye nyumba ya gharama kubwa, na Kama basi unauwezo WA kulipa basi usilalamike .

Hili ni tatizo la wanawake wengi hasa Kizazi cha Sasa,mwanaume uwezo wake kupanga chumba na varanda, yeye atataka nyumba nzima, akidai atalipa mambo yakimuwia magumu anaaza kulalama. Acha ya mkute.
upo smart sana na hivi ndivyo inavyotakiwa tuishi kwenye familia zetu
 
Back
Top Bottom