Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Ila huyu mwananmke ni mjinga sana hanaga akili ni hatari sana kuoa mwanamke wa hivi ni bora kuwa mseja.
 
Hongera sana Joyce kwa kuanika your dirty laundry out in the open for every one to see. Job well done.


Kwanza nimeshangaa sana Joyce bado anaishi nyumba ya kupanga................ mshangao zaidi ni ghorofa... .... kituko kamili ni mbezi beach...................

Swali langu la msingi hapo kujenga atakusikia kwenye mitandao ya kijamii na nabaki Africa hatakaa aweze kujenge...........

Kwani huyo shoga yako hajui kanuni ya kuishi na Kiben10? lazima wewe usimamie shoo zoteyeye kazi yake ni Dyudyu tuu kama aanavyopenda kusema kwenye media................
Hivyo kamaShoga yako hajui kananuni ya kuishi na viben10 aende amuulize Shilole Zari na mama yake Diamond. Na kama alitaka yte hayo atafute vibamia
 
Arrogant Joyce.. Alimwacha mume wa mwanzo, akaamua kufunga ndoa ya haraka na Kileo akijua kuwa Kileo atakuwa mbunge, sasa ubunge hakuna tena... Le super woman mchaga kachanganyikiwa maana alisha piga maheshabu ya maisha ya juuuuuu mbinguni
Hayo ndo madhara ya kumpendea mtu kitu. Kitu kikiisha na mapenzi huisha.
 
kumbe walipanga ghorofa. Duu, hapo kamanda lazma awe mgambo.
 
Kwanini asingemshauri mumewe wananunue kiwanja , nazani joyce hana mawazo ya kujenga yeye nyumba za kupanga tu mwanamke bora n yule anaye kushauri mambo ya maendeleo.
 
ndio Joyce nimekubali,

wengi mnajidai mnashauri,hamjui anacho experience,kama hujaolewa olewa uone mziki wake

atleast umesema wewe !mie leo sio mchangiaji ! kila mtu ananjia zake za kutoa stress !na huyu ameamua kuzitoa kwa namna hii ! mie nakaa kimyaa ! kuna watu wanahesabu km wanaume wako perfect sana ! yaan hawana madoa !na bahat mbaya mwanamke ukawa nazo au ukawa muongeaji bas utabebeshwa mizgo yote !
kuna rafiki angu aliolewa ,mume akawa hatoi pesa ya kodi wala chakula kila siku mume yupo safarin kikaz !rent ikiisha anamwambia mkewe lipa nitakuja kukurefund !imefika miaka 2 mwanamke kalipa rent zote mara 4!akaona huu sasa upuuuz !akapiga chini ndoa !unaambiwa mume hata awepo, luku ikiisha anamwambia wife nunua mie kuna hela nasubiria nilipwe !uwiii mie siwez jaman !
 
[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Jamani kaka wa watu, watu washajua ni marioo na mpiga wanawake. Hizi ndoa nakwambia kuna yanayoendelea mengi tu, mweeh!!!
Yaani acha tu, ndio wengine yakiwafika kama hivi wanayamwaga tu.
Super marios wataumbuka sana wakati huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…