Usiwe na hulka ya kuwaamini hawa Wanawake wa kizazi hiki kwa asilimia mia moja mkuu.Duh kuna vitu ukisimuliwa huwezi kuamini. Wewe ni mvumilivu sana. Pole sana.
Ni kweli kabisa mkuu. Wanawake wa aina hii ni hatari sana katika jamii.Hawa malaya wakishaanza kutumiwa wanajisahau sana....kumbuka faiza mzazi mwenzie na sugu aliwhi kuongea utumbo na mapupu kama haya sugu akaweka risiti malaya kimyaaa
Darsa LA saba umempendelea huyu ni darasa LA pili.HIVI HUYO MUMEWE AKIJA KUPATA MAPESA HUKO MBELE ATAJISKIAJE? NAKUMBUKA ALVYOKOSA UBUNGE ALISIKITKA NA KUWA ETI AMEKOSA SHOPING ZA DUBAI, HUYU MWANAMKE NAHS KAISHIA STD 7.
Kumbe huyu bibi ni Mmachame mkuu?Joyce Kiria ana laana ya kwao. Alishakosa adabu tangu utotoni akaachiwa laana na bibi yake kule Old moshi - Mowo
Tena Mwanaume ukimuoa huyu utafilisika haraka sana na kupoteza direction ya maisha.
Ni vema mnaposhindwana tabia kila mmoja aangalie ustaharabu wake na si kung'oana meno au kutukanana hovyo.
Beki 3 ndo kazi iiliyomleta mjini toka huko Kishumundu unatarajia nini? Analeta mambo ya soni huyu!!!!Ukiamua kuishi na mtu basi uvumilie kwelikweli.
Wakati anakubali kuolewa alikuwa hajui kama huyo mumewe hawezi kulipa bills?! Na kama huyo mwanaume hafai kwann haachani nae atafute mwingine wa kulipa bills.
Wakati huyo jamaa anagombania ubunge mbona alikuwa hasemi haya yote sifa zilikuwa kedekede nw ndio jamaa kawa mbaya. Huyu kweli bado ana akili ya kibeki 3
[emoji106]Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Aisee huwa kuna msemo kwamba akili ya beki 3 iko hivyo hivyo haiwez kubadilika Sasa nimeamini
Hivi Joyce kabla ya kuleta hii laundry basket yake nje afuliwe, alikagua kama kuna chupi, sidiria, vitambaa vya shughuli vitu ambavyo ni adhimu kwa mwanamke wa kiafrika kumtolea mtu amfulie?
Image is almost 37+ here she is crying for her own obligations hivi ameweza kuwa yangu mwanzo wangekwenda panga nyumba nzuri ya bei nafuu angrjipunguziaje mzigo
Haya kilewo kaka angu Leo ww mwanaume suruali kisa ulikosa ubungo. Hivi ungeupata mkeo Angelia hapa namna hii?
Kubwa kuliko yote damage aliyoiweka kwa watt wake no kubwa sana sana. Watafanyiwa bullying na wenzao, huyo baba atakuwa named Kila aina ys jina.
Sjui kwann kawa selfish kias hiki huyu mdada. Hivi anadhan mke ambaye analea familia kama baba ni yy peke yake? Wapo wanawake lukuki wa kitanzsnis wanatunza familia na wanaish very happy. Yy ana tafuta huruma za watu tuu. Apambsne na Hali yake, hilo jaribu ni saiz yake
Ajidhaniae amesimama aangalie asianguke.kila mtu asimame kwanza kwenye wajibu wake mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] knakaukwel lkn!!! tabora knajamaa anajinaa tuu mjini ila wife ake ndo kilakitu had ela ya mafuta had nguo ila mkeake ndo umwambii kitu yani ni anampendaje...... (anasimamia stationary)hahaha eti salim kikeke !ni kawaida ndio hatukatai lakii kuna wanaume wengine anakuwa anamtegea mke kwa kila kitu !yaan namanisha kila kitu !inafika kipindi mke anazidiwa utazan ni singo mama kumbe ameolewa ! tupigane tafu ndio lakini acheni ukitonga ! inakeraga pale mie najitoa kusaidia 90% we ukipata mshahara wako unachoona cha faida ni kulipia dstv tu !ili uchek mamipira yako !mxiew
Afuu kumbe yumo humu, Uzi wake unefukuliwa now akijisifia kumuoa Joyce!Hahahaaaa!! Na wataumbuliwa woote, acha wajibweteke tu.