Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Na kamanda alijichanganya kulioa hili Beki libeki tatu, alilishindwa DJ Nelly
 
Ni vema mnaposhindwana tabia kila mmoja aangalie ustaharabu wake na si kung'oana meno au kutukanana hovyo.
 
Binafsi sioni kama ni muwakilishi wa wapumbavu wala kitendo chake hakijafikia upumbavu. Huyo mama anawakilisha sehemu kubwa ya watu ambao hawana emotional intelligence. Ameshindwa kuchunga hisia na hasira zake na kusema mambo ambayo hakupaswa kuyasema hadharani. Tukumbuke kwamba kuna ile tafiti iliyosema asimilia fulani hivi ya Watanzania wanahitaji matibabu Milembe. Nadhani huyo mama anahitaji tiba ya afya ya akili kwa haraka. Kwa niaba ya wanaume wenzangu waelewa, hiyo ni changamoto ndogo tu, huyo mvulana wa mkoani anapaswa aikabili.
 
Duh kuna vitu ukisimuliwa huwezi kuamini. Wewe ni mvumilivu sana. Pole sana.
Usiwe na hulka ya kuwaamini hawa Wanawake wa kizazi hiki kwa asilimia mia moja mkuu.
Wengi wao ni waongo wa kutupwa. Inawezekana huyo mwanamke unayemuonea huruma ametunga mambo au kuongeza chumvi ili kumpaka matope huyo Mume wake. Mfano hai ni hili janga la huyu mwanamama Joyce, hakika ukipata nafasi ya kumsikiliza bwana Kileo unaweza kumuongezea kipigo huyo Joyce.
Tuishi na hivi viumbe kwa maarifa ya hali ya juu.
 
Ulivyowasilisha uzi wako yaani umeashumu watu wanajua alichokifanya huyo Joyce
 
Naona nguvu kubwa inatumika kumsitiri kamanda pasipo kuangalia madhaifu yake. Solution mumpe ruzuku tuu , unajua wangapi wanastiriwa pasipo kuja mitandaoni?
 
Hawa malaya wakishaanza kutumiwa wanajisahau sana....kumbuka faiza mzazi mwenzie na sugu aliwhi kuongea utumbo na mapupu kama haya sugu akaweka risiti malaya kimyaaa
Ni kweli kabisa mkuu. Wanawake wa aina hii ni hatari sana katika jamii.
 
HIVI HUYO MUMEWE AKIJA KUPATA MAPESA HUKO MBELE ATAJISKIAJE? NAKUMBUKA ALVYOKOSA UBUNGE ALISIKITKA NA KUWA ETI AMEKOSA SHOPING ZA DUBAI, HUYU MWANAMKE NAHS KAISHIA STD 7.
Darsa LA saba umempendelea huyu ni darasa LA pili.
 
Joyce Kiria ana laana ya kwao. Alishakosa adabu tangu utotoni akaachiwa laana na bibi yake kule Old moshi - Mowo

Tena Mwanaume ukimuoa huyu utafilisika haraka sana na kupoteza direction ya maisha.
Kumbe huyu bibi ni Mmachame mkuu?
 
Ukiona mwanamke kaachika, ndugu kaa mbali nae. Sisi wanaume ni wavumilivu sana.ukiona mwanaume kaacha jua hakuna namna na ndio maana sishangai anachokifanya Joyce...unakaaje mbele ya camera unaanika Siri za family,...
 
Joyce hukufanyiwa hukufundwa mama? Mapungufu ya mumeo inabidi uyabebe na iwe siri yako, sasa wewe vipi mwenzetu kumtangaza mume kwenye mitandao.......! huo unaharakati haujakusaidia kabisa, aibu ya mumeo ni aibu yako, ulivyoapa utampenda kwenye shida na raha ulikuwa unamaanisha nini labda...
 
Ukiamua kuishi na mtu basi uvumilie kwelikweli.

Wakati anakubali kuolewa alikuwa hajui kama huyo mumewe hawezi kulipa bills?! Na kama huyo mwanaume hafai kwann haachani nae atafute mwingine wa kulipa bills.

Wakati huyo jamaa anagombania ubunge mbona alikuwa hasemi haya yote sifa zilikuwa kedekede nw ndio jamaa kawa mbaya. Huyu kweli bado ana akili ya kibeki 3
Beki 3 ndo kazi iiliyomleta mjini toka huko Kishumundu unatarajia nini? Analeta mambo ya soni huyu!!!!
 
Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.

Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.

Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
[emoji106]
 
Aisee huwa kuna msemo kwamba akili ya beki 3 iko hivyo hivyo haiwez kubadilika Sasa nimeamini

Hivi Joyce kabla ya kuleta hii laundry basket yake nje afuliwe, alikagua kama kuna chupi, sidiria, vitambaa vya shughuli vitu ambavyo ni adhimu kwa mwanamke wa kiafrika kumtolea mtu amfulie?

Image is almost 37+ here she is crying for her own obligations hivi ameweza kuwa yangu mwanzo wangekwenda panga nyumba nzuri ya bei nafuu angrjipunguziaje mzigo

Haya kilewo kaka angu Leo ww mwanaume suruali kisa ulikosa ubungo. Hivi ungeupata mkeo Angelia hapa namna hii?

Kubwa kuliko yote damage aliyoiweka kwa watt wake no kubwa sana sana. Watafanyiwa bullying na wenzao, huyo baba atakuwa named Kila aina ys jina.

Sjui kwann kawa selfish kias hiki huyu mdada. Hivi anadhan mke ambaye analea familia kama baba ni yy peke yake? Wapo wanawake lukuki wa kitanzsnis wanatunza familia na wanaish very happy. Yy ana tafuta huruma za watu tuu. Apambsne na Hali yake, hilo jaribu ni saiz yake

Anatafuta attention na sympathy za watu, kumbe anajidhalilisha tu!
Yawezekana ni kweli mwanaume hatimizi majukumu yake kwa sababu moja ama nyingine lkn sio kuja kumtangaza mtandaoni, kama wao kwa wao walishindwa kuelewana bado alikuwa na nafasi ya kutafuta suluhisho kwa njia nyingine lakini sio hii aliyoitumia
 
hahaha eti salim kikeke !ni kawaida ndio hatukatai lakii kuna wanaume wengine anakuwa anamtegea mke kwa kila kitu !yaan namanisha kila kitu !inafika kipindi mke anazidiwa utazan ni singo mama kumbe ameolewa ! tupigane tafu ndio lakini acheni ukitonga ! inakeraga pale mie najitoa kusaidia 90% we ukipata mshahara wako unachoona cha faida ni kulipia dstv tu !ili uchek mamipira yako !mxiew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] knakaukwel lkn!!! tabora knajamaa anajinaa tuu mjini ila wife ake ndo kilakitu had ela ya mafuta had nguo ila mkeake ndo umwambii kitu yani ni anampendaje...... (anasimamia stationary)
kisa et endisamu [emoji23][emoji23][emoji23] vitu vingine mnatakaga wenyewe lkn



nachukia alchofanya j kama vp aseme na sabab ya mkon'goli.....
 
Back
Top Bottom