miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Ulikuwa hujui eeehKumbe dada angu ni wife materials!![emoji28][emoji28]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]yule anaweza kuwa kidume... lile tangazo "is too good to be true"
Shangaa na wewe!!!joyce hana akili kabisa. ana mashauzi balaa. hivi kweli alijirecord kabisa arushe mtandaoni ili iweje?
Inawezekana huyo jamaa siyo kuwa anashindwa kugharamika juu ya familia yake bali ni kwa ajili huyo dada nae ni mjuaji sana.Mie naona anajifariji tu hapo ila ujinga aliusababisha mwenyewe tangia mwanzo kwa kujipachika majukumu ambayo kwa upande mwingine wangeweza kuwa wanasaidiana.
Pia nampa pole sana sababu kama ni kweli analipa hadi kodi ya nyumba ni hela nyingi sana ambayo ameshaipoteza.
Ila wanaume na nyie hebu jifunzeni kusimama kama wanaume basi. Khaaa.
Mwanaume kama kichwa cha familia anapaswa kuwa MWANAUME sio unalea kidonda kikikuozea unaanza kulaumu mwanamke.Kwa showoff za J unafikiri angekubali. Na inawezekana aling'ang'ani huko Mbezi beach.
Wanawake hawajazoea kulipa bills hasa akiwa na mwenza wake, hata akiwa peke yake na ana kipato utasikia Mimi sina msaada nipo peke Yangu wkt anapata mshahara mrefu sana tuu.
Kuishi kwa kujionyesha kuwa mambo mazuri na showoff zimemkosti. My dear espy apambane na hali take.
Hizo % zilikuwa enzi za babu zetu sio sasa.Wanawake wanasikitisha sana. 95% ya wanaume kwenye ndoa ndio wanaolipia:
[emoji830]Pango
[emoji830]Chakula
[emoji830]Karo za shule
[emoji830]Nguo za familia
[emoji830]Usafiri wa familia
[emoji830]nk.
Lakini hata siku moja hutawasikia wanaume wanalalamika gharama zinazowakabili.
Sasa tetereka kidogo tu katika kipato chako halafu mke alipe yeye pango la nyumba. Dunia nzima itajulishwa.
Ni nini hiki?
Nilikuwa sijui kama dada mwenye chura kama wewe anaweza kuwa wife material!Ulikuwa hujui eeeh
AMEN!!!Kheeee nalipa bills pyeee never ever ever
... mwanaume abebwi never ..
Wanawake wa leo = wanaume wa leo.Napata ukakasi tabia za wanawake waleo,baba yangu aliwahi kufukuzwa kazi akawa jobless for more 5yrs na kesi juu sikuwahi kusikia mama yangu akinyanyua mdomo wake kumwambia hata mama yake kuwa mumewe Hana kazi.hata walivyo tengana still my mumy alikuwa na adabu kwa msure
Ahsante kwa kutoa neno sahihi kwa wakati sahihi.Ndoa ni zaidi ya wengi wanavyoelewa.
Kwa shida na raha hawaelewi kabisa.
Afu unakimbilia media trying to play the victim.
Sasa hizo kilo sizitaongezeka hadi zifike mia mbili jamani!Nakula misosi ya hataree
Ndo raha yangu mkuu mungu hakunyimi vyoteSasa hizo kilo sizitaongezeka hadi zifike mia mbili jamani!
Tokea upate dume umepotea JF!!....Kwa nini mkipata wapenzi mnapotea JF lakini?why?Kheeee nalipa bills pyeee never ever ever
... mwanaume abebwi never ..