Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Baada ya kumdhalilisha mumewe, Joyce Kiria asema hataki ushauri kutoka kwa mtu yoyote

Joyce ana hasira tu ya mambo mengine.lakini hakutakiwa kuongelea masuala ya nyumbani kwenye social media.Kilewo atamwelewa na watatatua tatizo lao
wanaume pigeni kazi acheni kuwa tegemezi
 
Hongera sana Joyce kwa kuanika your dirty laundry out in the open for every one to see. Job well done.
Huyu hata ndoa yake ya kwanza alimdhalilisha mumewe lakini yule dogo alikuwa na busara akapiga kimya. Sasa makosa yale yale aliyofanya wakati ule ameyarudia tena. Kweli sikio la kufa...
Nachokiona kwa huyu Dada anajiweka ktk viwango visivyo vyake. Living the artificial life. Anajifananisha na kina Kimora Lee wa US bila kujua kuwa wale wako League tofauti kabisa.
 
Anatafuta attention na sympathy za watu, kumbe anajidhalilisha tu!
Yawezekana ni kweli mwanaume hatimizi majukumu yake kwa sababu moja ama nyingine lkn sio kuja kumtangaza mtandaoni, kama wao kwa wao walishindwa kuelewana bado alikuwa na nafasi ya kutafuta suluhisho kwa njia nyingine lakini sio hii aliyoitumia
Anajidhalilisha indeed!!!!!!!!!!
 
Huyu hata ndoa yake ya kwanza alimdhalilisha mumewe lakini yule dogo alikuwa na busara akapiga kimya. Sasa makosa yale yale aliyofanya wakati ule ameyarudia tena. Kweli sikio la kufa...
Nachokiona kwa huyu Dada anajiweka ktk viwango visivyo vyake. Living the artificial life. Anajifananisha na kina Kimora Lee wa US bila kujua kuwa wale wako League tofauti kabisa.
Bongo wako wengi wa style hiyo
 
unfortunately, this is the true picture ya wanawake walio wengi hapa tz. amewakilisha wengi sana hapo more than 70% of them wana tabia kama hizi hizi. kinachotakiwa kwa wanaume ni kuwa na busara tu kuishi nao kwa akili.
 
Wabongo kwa ulimbukeni na kupretend fake life tupo vizuri .............huyu dada ni mpuuzi kama walivyo wapuuzi wengi tu Bongo hapa we mtu kama unapesa ya kuafford such an incredible expensive life style why should you blame others for the decisions that you took on your risk . Idiot ! That's it, Period !
 
unfortunately, this is the true picture ya wanawake walio wengi hapa tz. amewakilisha wengi sana hapo more than 70% of them wana tabia kama hizi hizi. kinachotakiwa kwa wanaume ni kuwa na busara tu kuishi nao kwa akili.


Halafu wanashangaa kwa nini wanaume wanawakimbia.
 
unfortunately, this is the true picture ya wanawake walio wengi hapa tz. amewakilisha wengi sana hapo more than 70% of them wana tabia kama hizi hizi. kinachotakiwa kwa wanaume ni kuwa na busara tu kuishi nao kwa akili.
Stupid women, aisee mademu wa bongo maigizo mengi mno kila mmoja anajiona high class chunguza hata humu jf tu. Hamna demu anaekubali life la bamia tembele.
 
Wanawake kama hawa ni majoka yenye makengeza kabsa,kamuaribia mumew jin kabsa,ningekuwa mm nampata talaka kabsa
 
Binafsi sijawahi kumkubali Joyce Kiria kiviile japo ana mambo ambayo huwa anafanya yana positive impact kwa jamii ila kuna mahali huwa anajichanganya sana hadi mtu unajiuliza huyu mama vipi?!

Jana kapewa kichapo kitakatifu na mume wake, yule jamaa handsome sana nadhani yule mwanamke alimpush to the limit.

Anadai eti yeye mwanamke ndo analipa bills zote za familia hadi kodi ya nyumba. Sasa nimetafakari japo mimi huwa sijali mambo ya watu, huyu mwanamke anaishi nyumba ya kupanga Mbezi Beach tena ghorofa(Mimi nilidhani nyumba yao)

Anaishi maisha ya juu sana, je hasara kwa nani? Acha alipishwe mwenyewe hizo bills.

Na nyie wanaume unaishije nyumbani hata sabuni hununui jamani? Kweli? Acheni hizo makamanda!

VIdeo akimchamba mume asiyelipa hata kodi ya nyumba


Naamini mume wake sio chizi! Kama alimpiga kama anavyosema? Naamini jamaa hajampiga bure tena kwa kumuonea eti simply analipa kodi na mahitaji muhimu ya kifamilia really! Mume akupige kwa sababu hiyo??? Kwa sababu ameamua kuanika mambo yao ya familia hadharani naomba utujuze ukweli kabisa kwa nini mume wake alimpiga??? Coz reason anayosema kulipa kodi ya pango na mamatumizi mengine siamini hata kidogo kama mumewe anaweza mpiga kwa that reason! I believe kuna kitu sis hajasema ukweli
 
Ukaidi na ubishi wa wanawake hautowaacha salama. Mjipange
 
Huyo mdada ni punguani mbona wakati kamanda analipa hzo bills hakua anakuja kutangaza kwenye mitandao, ktu wasichokijua wanawake ni kwamba kuna siku mmeo ataishiwa na hiko ndo kipimo cha upendo.. Sasa kuja kumuanika kwenye mitandao ndo nin, akina dada wa sku hz sjui akili zao zipo wapi,


Wakat nakua nakumbuka mdingi aliyumba almost 2 years bi mkubwa anaamka saa 11 anachoma maandazi, saa 2 anachoma chapati naomba hela ya shule napewa na bi mkubwa, for 2 years, lakin hawa wa sasa hv ukikosa hela week tu utatombewa had na wauza karanga za sh. 50.
Sikuhizi Wanawake Wa ainaya ya mama zetu hawapo
 
Baadhi ya wana
Nadhani kuna mahali tunasahau kumuliza huyo Joyce,
Je,ni tangu waoane mumewe hakuwa analipa kodi?
Kama jibu ni ndiyo,wakati wote hakuwahi kulalamika ni mpaka amepigwa,kwanini???
Kama alikuwa analipa,amebainisha sababu zilizopelekea kushindwa kuhimili kodi kwa sasa?
Tumesikia upande mmoja tu,si ajabu akija mumewe kuelezea uhalisia tutaishia kushangaa tu!
Baadhi ya wanawake ni Shida shida Shida!!!! Hasa wakiwa na kipato kuliko mume!!!
Hivi Flora Mbasha yupo wapi?????
baadhi ya wanawake unaweza dhani umeoa mke kumbe umeoa Jini
 
Back
Top Bottom