Igweeeeeeeeeee,
Ndugu zangu kuanzia leo nimeacha kabisa ulevi kunywa beer pamoja na kuchukua wanawake tofauti tofauti.
Ndugu zangu wiki lililopita nilikutana na mwanamke mmoja jijini dar.es salaam tuliwahi kukutana nae kwa mara ya kwanza manispaa ya kahama kwenye bar inayoitwa The fox bar and greel.Baada ya kukutana nae kahma tulianzisha mahusiano nae na tukaanza sms za kuchombezana za hapa na pale.
Wakuuu wiki lililopita tulikutana bar ya delux sinza kijiweni jijini Dar es salaam tulikula beer tukaenda room kwa ajili ya majamboz aiseeee nilimpiga goli moja kwa ndom wakuuu msijeniuliza baada ya hapo wakuu nilikuwa kila nikilala nashituka yaani.usiku mzima sikulala .
Wakuuuu hali hiyo huwa inanitokea kwa baazi ya madem yaani nikilala nao nashituka na kesho yake naamka nimechoka sana .
Wakuuu nilipoamka kesho yake nilisema maneno yafuatayo enough is enough mimi kama starehe nimefanya sana sasa nioe
Wakuu naombeni baraka zenu.