Baada ya kumjua kuwa kumbe Adui Mkubwa wa Simba SC ni Mwekezaji Mo Dewji nawaomba Msamaha 'Mangungu' na 'Try Again'

Kwa hiyo kuanzia Leo watu wajue kuwa wewe ni mkurupukaji pro max kwenye kutoa hoja zako humu, ona Sasa Leo umekiri mwenyewe kwamba hunaga taarifa zozote zenye ukweli isipokuwa unaandika kwa mihemko tuu.
 
Kampala ipi wew si upo mapinga bagamoyo
au kampala gongo la mboto
 
Genta unatuchanganya wana Simba!!!
Sisi tunajua Mr jaribu tena na Mangungu ndio waznguaji....
 
Kama anatoa 870 viongozi wanatumia 185 kwa mwezi, na zinazobaki wantia mfukoni kwa nini atoe 870? Hao viongozi ni wapigaji mo Ameshawashitukia ndo maana unaona wanangangania madaraka

Janja janja zao za kisiasa pale Simba zinakaribia Mwisho, Mangungu na Try Again ni wapigaji, wamekutana na wapiga kura wajinga wanafanyiwa siasa za akina manzoki na mayele, na wao wanaridhika
 
MO anaidai Simba ndio maana hakuna wa kumfanya kitu...
 
Hujui kitu,, yule mgombea aliyeshindwa ndo alikua anampinga Mo, Mo hakuhusika na lolote Kwenye Uchaguzi, Siasa za Mangungu za Kumleta Manzoki ziliwaingia wapiga kura wajinga
 
Hujui kitu,, yule mgombea aliyeshindwa ndo alikua anampinga Mo, Mo hakuhusika na lolote Kwenye Uchaguzi, Siasa za Mangungu za Kumleta Manzoki ziliwaingia wapiga kura wajinga
Nadhani wewe ndio hujui kitu. Baki kama ulivyo
 
Ila hii ya kusema Mo hamtaki Mangungu hii kwangu kdg ni km siamini vile..katika uchaguzi ule mie nilikua timu Kaluwa , sikuona dalili zq Mo kumtaka Kalua ..ktk vikao vyote vya kampeni
Asingeweza kuonyesha waziwazi. Baada tu ya Mangungu kutangaazwa mshindi pale pale Kassim Dewji alijiuzulu ujumbe kwenye bodi ya Simba. Hapo connect dots
 
Sasa mangungu anafaida gani pale simba
Mangungu ni chairman. Anaiongoza Simba licha ya kuwekewa vikwazo na MO na waala halalamiki. Fikiria ahadi ya MO haitimizi kisa anataka Mangungu aondoke na bado timu inakwenda si vibaya sana
 
Mangungu ni chairman. Anaiongoza Simba licha ya kuwekewa vikwazo na MO na waala halalamiki. Fikiria ahadi ya MO haitimizi kisa anataka Mangungu aondoke na bado timu inakwenda si vibaya sana
Huenda mo anamuona Mangungu kama kikwazo kwake na ndio maana hatoe izo pesa
 
Asingeweza kuonyesha waziwazi. Baada tu ya Mangungu kutangaazwa mshindi pale pale Kassim Dewji alijiuzulu ujumbe kwenye bodi ya Simba. Hapo connect dots
Ulikua unaconect dot kijinga
 
Mangungu ni chairman. Anaiongoza Simba licha ya kuwekewa vikwazo na MO na waala halalamiki. Fikiria ahadi ya MO haitimizi kisa anataka Mangungu aondoke na bado timu inakwenda si vibaya sana
We jamaa ni empty hujui kitu unaropoka kwa hisia usizokua na uhakika nazo, boraa ukae kimya unajiaibisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…