Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio unachanganya Kasim Dewj na Mo haziivi, wao ndio walikuwa wanamuwekea Zengwe ili asichukue timu,yeye na kundi lao la Friends of Simba na pia Barbara (mtu wa Mo) alimnyima tenda ya jezi na kumpa Vunjabei. Labda umemchanganya na AzimAsingeweza kuonyesha waziwazi. Baada tu ya Mangungu kutangaazwa mshindi pale pale Kassim Dewji alijiuzulu ujumbe kwenye bodi ya Simba. Hapo connect dots
Jamaa halijui kitu linaropoka tuWewe ndio unachanganya Kasim Dewj na Mo haziivi, wao ndio walikuwa wanamuwekea Zengwe ili asichukue timu,yeye na kundi lao la Friends of Simba na pia Barbara (mtu wa Mo) alimnyima tenda ya jezi na kumpa Vunjabei. Labda umemchanganya na Azim
Nipo mkuu, sema nilipoa tu jf. Mamb yanaendaje lakinSikusomi kabisa.umepoa hatari
Ni gud tu mkuu.mitikatisi pande hiyo vipi..Nipo mkuu, sema nilipoa tu jf. Mamb yanaendaje lakin
Fresh kabisa mkuu.Ni gud tu mkuu.mitikatisi pande hiyo vipi..
Haina noma mkali ✌️Fresh kabisa mkuu.
Nyambafu, Bundesliga we!Mo Dewji Wewe kweli ni wa Kutufanyia haya Sisi wana Simba SC? Yaani una bahati nimekuja kuyanza Maisha mapya huku Kampaa Uganda ila hakyanani ningekuwa huko Dar es Salaam Tanzania ungenitambua. Yaani Mo Dewji Wewe leo ni wa kuipa Simba SC Shilingi 185 za Operations kwa Mwezi badala ya zile Shilingi 870 ulizosema Mkutanoni kuwa huwa unatoa na utaendelea kutoa hadi Mchakato wa Uwekezaji utakapokamilika?
Baadae nakuja na Uzi MAALUM wa kusema Mo Dewji TUACHIE SIMBA SC yetu na naamini nitaungwa sana tu mkono. Na nichukue pia nafasi hii kuwaomba sana Radhi Viongozi akina Murtaza Mangungu na Salim Abdallah Mhene 'try again' kwa Kuwashambulia mara kwa mara hapa JamiiForums nikidhani Wao ndiyo Wabaya ndani ya Klabu.
Kwa Yanga hii yenye morali, Simba anaenda kupigwa tena labda wahonge.We angalia tu viongozi wa Simba wanavyocheza na akili za mashabiki, na wapo after money, timu mbovu lakini watafanya propaganda wajaze uwanja,mechi zilizobaki wataenda wachache,ikikaribia tar 20 mechi na Yanga utaona wanavyobembeleza kwamba bila nye sisi hatuwezi,utaona hii mechi na Yanga itakavyokuwa platform ya kujisafisha.
Pumbavu.Kampala ipi wew si upo mapinga bagamoyo
au kampala gongo la mboto
SanaHaina noma mkali ✌️
Hapa ndio katiba ya simba ilipofeli jamaa ni mwenyekiti wa 51% hana nguvu upande wa piliSasa mangungu anafaida gani pale simba
Utakubalije kupigwa na Bodi uliyoichagua ambayo unajua fika watakuharibia uwekezaji wako lakini pia unapata hasara, hakuna anaewekeza ili apate hasara. Yale maneno yake yakutafuta huruma ili aendelee kupiga vizuri.Acha visingizio kupigwa mtapigwa tu..TULIA MKUU ,UTALIWA TU...MNAMSINGIZIA MUDI ,WAKATI MNAMPIGA KWA TEN PERCENT ZA USAJILI...MNAFIKIRI YEYE ZWAZWA
Hii ni kweli, kama angekuwa anatoa pesa angeona inavyotumika vibaya awe na uchungu nayo, lakini yupo kimyatu
Uko sahihi na kwenye bodi uchaguzi wa pili wameondolewa ..KD ,Mulamu, Kapusi na wengineWewe ndio unachanganya Kasim Dewj na Mo haziivi, wao ndio walikuwa wanamuwekea Zengwe ili asichukue timu,yeye na kundi lao la Friends of Simba na pia Barbara (mtu wa Mo) alimnyima tenda ya jezi na kumpa Vunjabei. Labda umemchanganya na Azim
Anaongea kwa mafumbo uko kwenye mtandao wa X pamoja na yule manzi wetu! 😃😄😃😄Mpaka sasa sijaona tajiri Mo akizungumzia mambo ya Simba naona amepima upepo