Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu


heheheheeiiiyaaaa shkamoo heven, kumbe wewe ni m-mbeya kiasi hiki, haya mama tusubiri kuona nguo zikisukumwa kuelekea mbele.
 
Yani Msije mkasema ni Mimba ya Mbuga zetu!

Maana hii itakuwa Kali zaidi na Mbuga zetu atakuwa amejidhalilisha yeye na familia yake!

Yaani umeniua mbavuu...mbuga zetu. Mbavu zanguuu
 
Ahahahaaaa.... Mbuga zetu....!!!! JF rahaaaa.... Ila jina limempendeza na alivo serious mwenyewe sasa..... Sijui huwa anachekaga yule Muheshimiwa
 
Huyu dada si ndo yule anayefanya kazi za wizara ya maliasili na utalii akishirikia na nyalandu hasa kwenye safari za nje ya nchi?
 
Mimba yaweza kua ya yule Dansa huuu huu huuuu huuu
 
Huyo mme wa mtu alikuwa anauza mechi kabisa yani yani daa kweli ugonjwa wa kifua umekaa pabaya.
 
Huyo mme wa mtu alikuwa anauza mechi kabisa yani yani daa kweli ugonjwa wa kifua umekaa pabaya.

Wanaume tuna kazi yani gumegume unapiga peku n kuzama chumvini ndio mana vijana wengi midomo imepauka n mustach hawana chumvi imewaunguza
 

Hata Mimi napenda kusikia kabisa Mbuga zetu hausiki kabisa lakini nashindwa kuelewa Mbuga zetu alitumia Vigezo gani kumteua Shangazi kutangaza chiriku wetu? Don forget kuwa Mbuga zetu nae ni binadamu na linapokuja swala la usaliti haliangalii aina ya mke uliye nae!
 

uuwii uwiii uwiiii heven wee endelea kuuchonga huo mdomo, mimi nimejitolea kukuletea chakula kule nanihii...... kuleee.....
 

yaani km mbuga zetu alipiga peku baas ishakula kwake
ukute alimtegeshea
chezea pesa!!!
wadada wa mjini kwenye hayo ni mbwaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…