tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Ndio maana natamani nijue mwenye mimba ni nani lakini hata Mimi nakataa kuwa Aunt ana weza kujirengesha kwa dancer! Lazima kuna muhusika lakini si dancer!
Aunty kizazi kipo poa alishawahi beba mimba ya Jack Unguja,sema labda alikuwa tu hajapata mtu serious mwenye mawe ili amzalieHuyo kizazi chake sugu lazma uwe unakula dona n ngulu ndio mimba ishike istoshe mpka amebeba hiyo mimba cjui huyo jamaa katumia bluetooth au viber mana ni sugu huyo
Haaa na utafiti mpya unaonesha wambea huishi miaka mingi ngoja niendelee kupiga umbea tu.. wana saikolijia wanashauri watu.kushiriki umbea
Hahahaha unajua kama alijaribu kuendesha nae gari lazima alimtegeshea!
Aunty kizazi kipo poa alishawahi beba mimba ya Jack Unguja,sema labda alikuwa tu hajapata mtu serious mwenye mawe ili amzalie
na iwe hivyo jamani, nafuu mara mia 8 lakini eti mbuga zetu???? HELL NOOOOO
hhahahahahah,anajaza dar expresss!nimecheka robo niamshe wananguMaana yangu hicho kizazi kimeshapitia dhoruba zote c ajabu kilikua upside down kwa kuchokonolewa cz huwezi kua n lundo l wanaume usipate mimba,kuanzia unguja cjui hartman cjui nani yani anaweza jaza darexpress kwa idadi y wanaume.
Huyo abortion kafanya sana mana wa2 wanapiga mechii pekupeku hpo mtu mpka umpe mimba huyo c mchezo huyu ni mzee sugu
Kaona fursa huyo mdada maana mwakani jamaa anaweza akawa rais.
Anawaza kua bimdogo eeee
baas kaka mbugani
sasa km alikua anawinda kiharamu baas washamkamata
mi simooo!!!!
pole farijala mkotakota
hhahahahahah,anajaza dar expresss!nimecheka robo niamshe wanangu
Aisee,hope wako salama,mimi nilishangaa sana alipoolewa na kile kitoto.Halafu ndoa mme Dubai mke Tz.Kumbe huku alikuwa anauza.hivi ana mjengo au kapanga?Pole best ila kiukwel wanajaza dar express hpo hujaweka wale wanaompigia cmu njoo hotel flan kuna mechi y laki 2 au 3,mana wauza sembe wamepiga sana yeye n madam kwa malipo y papohapo
Aisee,hope wako salama,mimi nilishangaa sana alipoolewa na kile kitoto.Halafu ndoa mme Dubai mke Tz.Kumbe huku alikuwa anauza.hivi ana mjengo au kapanga?
Yule c mtoto naskia ni kuku mtamu alioa watu wajue nae rijali kumbe break nyuma hamna.kuhusu mjengo cjui binamu atakua n data zote,hawa bongo movie n wajasiria papuchi yani wenzao wanakata sugu z miguu wao wanakata sugu za k
watu mna data hatarii
Mzee w mbuga sio mjinga azae n huyo gumegume atajimaliza kisiasa,huyo n yule dancer w domo mana mpka walipigana kumgombea huyo mkata viuno