Pole best ila kiukwel wanajaza dar express hpo hujaweka wale wanaompigia cmu njoo hotel flan kuna mechi y laki 2 au 3,mana wauza sembe wamepiga sana yeye n madam kwa malipo y papohapo
kumbe afanyeje!!!
km kweli ishakula kwake ila nlikua namheshimu sana mr.mbuga
kumbe naye ni muindaji haramu!!
Kwakweli hata Mimi nilishangaa sana Mbuga zetu kumchagua huyu shangazi kututangazia chiriku wetu hadi Leo huwa najiuliza vigezo gani vilitumika sipati picha!
Kwakweli hata Mimi nilishangaa sana Mbuga zetu kumchagua huyu shangazi kututangazia chiriku wetu hadi Leo huwa najiuliza vigezo gani vilitumika sipati picha!
Ila kuna watu wanajua kurisk yaani mtu anapiga peku kwa Anti Ezekiel??
Nilipitia story flani kwenye website ya global publisher kuhusu yule mwanamke aliyemchana aunt na chupa, kuna mdau mmoja akasema kuwa huyo aunt ni HIV+ kitambo sana, sasa ukiangalia msululu wake utaowaona jinsi watu walivyo kwenye risk.
AiseeeNilipitia story flani kwenye website ya global publisher kuhusu yule mwanamke aliyemchana aunt na chupa, kuna mdau mmoja akasema kuwa huyo aunt ni HIV+ kitambo sana, sasa ukiangalia msululu wake utaowaona jinsi watu walivyo kwenye risk.
Nilipitia story flani kwenye website ya global publisher kuhusu yule mwanamke aliyemchana aunt na chupa, kuna mdau mmoja akasema kuwa huyo aunt ni HIV+ kitambo sana, sasa ukiangalia msululu wake utaowaona jinsi watu walivyo kwenye risk.
Huyo mtoto ataishi kwa madanga sasa ,hii mimba sidhan kama anamjua aliempa!!
Siku utakapomuoma mtoto ndio utaamini.. hivi aunt unadhani ni wa kuvaa gauni la vile.... angevaa ka kitu kamembana kame shape umbo lote.. ila mimba..
Nenda kwenye page yake insta hapost picha yoyote full zote zinaishia kwenye manyonyo..
alikua hataki ijulikane sema ndio birthday na yenyewe aliitaka ya mbwembwe ndio ukaona hivyo. Halafu huoni tu mabadiliko aunt wa zaman na huyo mwenye mimba
Btw siku ukisha confirm usiache kuniambia.
Wanaume tuna kazi yani gumegume unapiga peku n kuzama chumvini ndio mana vijana wengi midomo imepauka n mustach hawana chumvi imewaunguza
na iwe hivyo jamani, nafuu mara mia 8 lakini eti mbuga zetu???? HELL NOOOOO
Ndio maana natamani nijue mwenye mimba ni nani lakini hata Mimi nakataa kuwa Aunt ana weza kujirengesha kwa dancer! Lazima kuna muhusika lakini si dancer!
Kaona fursa huyo mdada maana mwakani jamaa anaweza akawa rais.
Jameni ya kweli haya??!
Hatariiii
Aiseee
Hila watu wanajua kupima kwa macho....