Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

Pole best ila kiukwel wanajaza dar express hpo hujaweka wale wanaompigia cmu njoo hotel flan kuna mechi y laki 2 au 3,mana wauza sembe wamepiga sana yeye n madam kwa malipo y papohapo

Hahahaha Dar express noma sana
 
kumbe afanyeje!!!
km kweli ishakula kwake ila nlikua namheshimu sana mr.mbuga
kumbe naye ni muindaji haramu!!

Kwakweli hata Mimi nilishangaa sana Mbuga zetu kumchagua huyu shangazi kututangazia chiriku wetu hadi Leo huwa najiuliza vigezo gani vilitumika sipati picha!
 
Kwakweli hata Mimi nilishangaa sana Mbuga zetu kumchagua huyu shangazi kututangazia chiriku wetu hadi Leo huwa najiuliza vigezo gani vilitumika sipati picha!

Mzee w mbuga alikua anatimiza ilani y chama kigezo ni kua cheusi dawa n mcheza vigodoro,last bt ntlist ni mtoaji mzuri w tigo rusha bidada
 
Ila kuna watu wanajua kurisk yaani mtu anapiga peku kwa Anti Ezekiel??

Nilipitia story flani kwenye website ya global publisher kuhusu yule mwanamke aliyemchana aunt na chupa, kuna mdau mmoja akasema kuwa huyo aunt ni HIV+ kitambo sana, sasa ukiangalia msululu wake utaowaona jinsi watu walivyo kwenye risk.
 
Huyu mwanamke hajieshimu hata kidogo wanamtumia kama mdoli na yeye karizika japo hicho kishimo umepewa bure na mungu ebu kionee uruma maana mwishoe kitakua hakina laza yoyote
 
Nilipitia story flani kwenye website ya global publisher kuhusu yule mwanamke aliyemchana aunt na chupa, kuna mdau mmoja akasema kuwa huyo aunt ni HIV+ kitambo sana, sasa ukiangalia msululu wake utaowaona jinsi watu walivyo kwenye risk.

aiseeeeeee
 
Nilipitia story flani kwenye website ya global publisher kuhusu yule mwanamke aliyemchana aunt na chupa, kuna mdau mmoja akasema kuwa huyo aunt ni HIV+ kitambo sana, sasa ukiangalia msululu wake utaowaona jinsi watu walivyo kwenye risk.
Aiseee
Hila watu wanajua kupima kwa macho....
 
Nilipitia story flani kwenye website ya global publisher kuhusu yule mwanamke aliyemchana aunt na chupa, kuna mdau mmoja akasema kuwa huyo aunt ni HIV+ kitambo sana, sasa ukiangalia msululu wake utaowaona jinsi watu walivyo kwenye risk.

Jameni ya kweli haya??!
Hatariiii
 
Siku utakapomuoma mtoto ndio utaamini.. hivi aunt unadhani ni wa kuvaa gauni la vile.... angevaa ka kitu kamembana kame shape umbo lote.. ila mimba..

Nenda kwenye page yake insta hapost picha yoyote full zote zinaishia kwenye manyonyo..
alikua hataki ijulikane sema ndio birthday na yenyewe aliitaka ya mbwembwe ndio ukaona hivyo. Halafu huoni tu mabadiliko aunt wa zaman na huyo mwenye mimba

Btw siku ukisha confirm usiache kuniambia.

Inawezekana ni kweli maana hako kagauni jana nilivyokaona nilishangaa hiko si kivaz chake aisee mimba ya danga yupi ndo nna hamu na huo ubuyu
 
Wanaume tuna kazi yani gumegume unapiga peku n kuzama chumvini ndio mana vijana wengi midomo imepauka n mustach hawana chumvi imewaunguza

Hahahaha...ukizama unatoka umebabuka ka mnywa gongo...hatareee
 
Ndio maana natamani nijue mwenye mimba ni nani lakini hata Mimi nakataa kuwa Aunt ana weza kujirengesha kwa dancer! Lazima kuna muhusika lakini si dancer!

Inawezekana ni ya dansa pia ila akasingiziwa mwingine
 
Back
Top Bottom