adriz Una akili nyingi bro....nmekuelewa na upande wa simba tumieni akili acheni kupindisha, huyu feisal kaleta tamaa, na mwisho wa tamaa ni Mauti. Asipokuwa makini feisal tunamzika mapemaKwani Yanga wamemlipa kinyume na mkataba aliousaini mwenyewe ?
Je kama akilipwa vizuri kwa madai kiwango chake kinaruhusu je akishuka kiwango baada ya mkataba mpya kama ilivyokuwa kwa Nondo na baadhi hata ya wachezaji ulaya ,je klabu nayo ina haki ya kudai fedha na mchezaji kupunguziwa au Kukata mshahara kisa ameshuka kiwango ?
Mzeee umemaliza yoteShida sio hiyo 4m ,kinachomuumiza fei nadhan ni uongoz wa yanga kuwapaparikia Sana wageni kwa kuwapa huduma nzuri na kuishi Kama wafalme wakat kazi wanapiga ya kawaida Sana na pengine kuwazid hao.
Imagine aziz na Morrison wanamzid nn fei?
Wengi mmekomaa na mkataba ,ni sahihi alinisain kulingana na mazingira ya vilabu vyetu kutojar wazawa ,lakin Kuna muda busara lazima ichukue nafas na kuona umuhimu wa mtanzania mwenzenu ,why hatuthamin vya kwetu?
Elimu yao ndogo kuhusu mikataba isiwe fimbo ya kuwachapia ,fei kafanya haya ili awaamshe na wengine .
Kiwango kinapopanda lazima na thaman ya mtu iongezeke .
Mbona vilabu vinaongeza mikataba ya wachezaj hata kabala hajamaliza mkataba na kunoresha maslah hasa wakiona Kuna faida kwa upande wao.
Yanga hawakuona faida kwa fei ,na fei alijiona kiwango kimekua ndipo akataka aondoke kwa kuvunja mkataba maana hata vilabu huvunja mikataba ya wachezaj km hawajaridhika nao.
Ni mjinga tu ataungana na viongozi wa yanga kukubali fei aliwe 4m huku wahuni km Morrison wanakunja 23m, aziz 27m,Yaan fei sio wa kuzidiwa salary had na akina Aucho.
Akil yangu inaniambia fei ni yanga damu Ila uongoz wa yanga umeamua kumsalit mwana yanga aliyepambana kwenye Vita vyote ,wakat wa mafanikio wanamtenga.
Anapigania maslah yake, hata akirudi Yanga saizi lazima wam boreshee maslahiHaya hapo alipo analipwa au anapoteza muda? Mimi naonea huruma kipaji chake...any way kupanga ni kuchagua
Mkuu, makubaliano ya malipo hayaangaliwi wewe unauhitaji kiasi gani na hela, Bali kiwango ndio kinaamua. Wakati mshahara wake unatoka 1.6 kwenda 4, kwa wakati ule, waliona ni sahihi. Sasa kiwango kinapopanda, badala ya kusema unanyonywa, omba maboresho ya mkataba. Je,Fei alishawahi kuomba maboresho ya mkataba?Poor reasoning
Mwambie Azizi Ki kuanzia leo awe ana chukua 4M kwasababu kuna timu ya majimaji ilikosa pesa ya nauli
Aziz ki hakusaini mkataba wa kulipwa milion 4 kwahyo analipwa kulingana na mkataba wake.. kinachomaanishwa hapo fei anasema 4Mil ni ndogo mpaka alikua ana kula ugali na sukari..ndomana huyo kahoji milion 4 ndogo ki vp kama maji maji wote walikosa milion 1 ya kuwarudisha kwao!Poor reasoning
Mwambie Azizi Ki kuanzia leo awe ana chukua 4M kwasababu kuna timu ya majimaji ilikosa pesa ya nauli
Kuongeza maslahi hakukataliwi na ni makubaliano ya pande mbili,kama unaona maslahi ni madogo omba kuuzwa kwa kufuata taratibu sio kutaka kuondoka kihuni, ukiona shida subiri mkataba wako uliosaini mwenyewe ukiwa na akili timamu uishe uende unapotaka.Mpira WA miguu ni mchezo mchazaji anakuwa active mdani ya muda mfupi kati ya miaka 18-30 hapo. Na umri unavyozidi kwenda unaweza kushangaa unajikuta timu za hovyo.
Wachezaji wote duniani wanapokuwa kwenye form ndio muda WA kuongeza maslahi yako.
Kwako wewe milion 4 ni nyingi Ila Kwa kiwango cha Faisal na nature ya KAZI yake kuwa ya muda mfupi ni hela ndogo hiyo. Pale Yanga kuna wachezaji wanalipwa zaidi ya hiyo hela na wanakaa benchi (Mfano Makambo)
Mmmh hapana. Kwa Tanzania hii ya leo, huo ni mshahara mdogo kwa mchezaji tegemeo wa timu kama Yanga huku kwenye timu hiyo hiyo kuna wachezaji wanalipwa zaidi ya milioni 20, gap hiyo ina matatizo.Ila jamani twende mbele na kurudi nyuma huo mshahara sio mdogo sema angeomba aongezewe tuu maslahi kwa taratibu nzuri..ila kuja public na kusema mshahara mdogo wkt kuna watu wanalipwa laki 5 na maisha yanaenda sidhani kama ni kitu sahihi..
Sema angeomba mkataba upitiwe aongezewe maslahi yake kulinga na kazi yake na umuhimu wake pia...
Feisal alichukua maamuzi ya ghafla kwa sababu watu waliomtaka walimwaminisha kwamba ishu ni ndogo tu...Lakini angetumia njia ya kiungwana. Na siyo ile aliyoitumia yeye. Maana ilijaa dhrarau, uhuni, na utoto mwingi.
Binafsi ningetamani kumuona dogo akicheza kwa miwango cha juu! Halafu angevumilia mpaka mwakani. Viongozi wangekaa naye mezani, ndiyo anvetikisa sasa kibiriti ili wapande dau, na kama invetokea wameshindwa; angeenda zake kwingine.
Sasa maamuzi aliyochukua, yamekuwa na madhara pande zote! Hakuna mnufaika katika huu mgogoro. Zaidi tu ya upande mmoja kushika kwenye mpini, na upande mwinvine kushika kwenye makali.
Wewe umeusoma huo mkataba au na wewe unanyesha ufupiKwa ufupi Fei ana haki ya kuvunja mkataba kama mkataba wenyewe unavyoelekeza. Sasa kula sukari na hizo mambo mnazoshadadia ni kachumbari tu lakini Fei yupo huru kuvunja mkataba.
Mkataba waliomsainisha Yanga ndio una matobo na hayo ndio yataifelisha Yanga kama kesi ikienda kwa weledi. Tusubiri
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Ukiletewa hiyo clip utaongeza heshima na utakubali na sisi tukupuuze?Leta clip hiyo ya ugari sukari..we jamaa unaheshimika hapa kwa hoja na thread zako...kumbe heshima ninayokupa hustahili
Poor reasoning kwaiyo kama kuna watu wanalipwa laki 5 na yeye ndo asiseme mshahara mdogo. Angalia value ya kile mtu anacho fanya sio kufananisha mshahara na watu wengine. Kuna watu wanalipwa million 10 na bado wanalalamika mshahara mdogo.Ila jamani twende mbele na kurudi nyuma huo mshahara sio mdogo sema angeomba aongezewe tuu maslahi kwa taratibu nzuri..ila kuja public na kusema mshahara mdogo wkt kuna watu wanalipwa laki 5 na maisha yanaenda sidhani kama ni kitu sahihi..
Sema angeomba mkataba upitiwe aongezewe maslahi yake kulinga na kazi yake na umuhimu wake pia...
Kuanzia leo, nimekutoa kwenye kundi la mbumbumbu. Nadhani wewe ndio Kolo pekee mwenye akili. Ilikuaje ukashabikia hilo li timu la mbumbumbu lakini?Ila jamani twende mbele na kurudi nyuma huo mshahara sio mdogo sema angeomba aongezewe tuu maslahi kwa taratibu nzuri..ila kuja public na kusema mshahara mdogo wkt kuna watu wanalipwa laki 5 na maisha yanaenda sidhani kama ni kitu sahihi..
Sema angeomba mkataba upitiwe aongezewe maslahi yake kulinga na kazi yake na umuhimu wake pia...
Soka sio kama siasa kwamba mzawa ndio mwenye haki, Soka ni biashara ndio maana hata huko tunakoiga mzawa sio hoja ila kipaji na mchago wa huyo mchezaji mwenyewe kwenye hiyo biashara.Shida sio hiyo 4m ,kinachomuumiza fei nadhan ni uongoz wa yanga kuwapaparikia Sana wageni kwa kuwapa huduma nzuri na kuishi Kama wafalme wakat kazi wanapiga ya kawaida Sana na pengine kuwazid hao.
Imagine aziz na Morrison wanamzid nn fei?
Wengi mmekomaa na mkataba ,ni sahihi alinisain kulingana na mazingira ya vilabu vyetu kutojar wazawa ,lakin Kuna muda busara lazima ichukue nafas na kuona umuhimu wa mtanzania mwenzenu ,why hatuthamin vya kwetu?
Elimu yao ndogo kuhusu mikataba isiwe fimbo ya kuwachapia ,fei kafanya haya ili awaamshe na wengine .
Kiwango kinapopanda lazima na thaman ya mtu iongezeke .
Mbona vilabu vinaongeza mikataba ya wachezaj hata kabala hajamaliza mkataba na kunoresha maslah hasa wakiona Kuna faida kwa upande wao.
Yanga hawakuona faida kwa fei ,na fei alijiona kiwango kimekua ndipo akataka aondoke kwa kuvunja mkataba maana hata vilabu huvunja mikataba ya wachezaj km hawajaridhika nao.
Ni mjinga tu ataungana na viongozi wa yanga kukubali fei aliwe 4m huku wahuni km Morrison wanakunja 23m, aziz 27m,Yaan fei sio wa kuzidiwa salary had na akina Aucho.
Akil yangu inaniambia fei ni yanga damu Ila uongoz wa yanga umeamua kumsalit mwana yanga aliyepambana kwenye Vita vyote ,wakat wa mafanikio wanamtenga.
Poor reasoning
Mwambie Azizi Ki kuanzia leo awe ana chukua 4M kwasababu kuna timu ya majimaji ilikosa pesa ya nauli
Hivi unadhani mshahara wa SAKHO unalingana na wa KAPOMBE?Mmmh hapana. Kwa Tanzania hii ya leo, huo ni mshahara mdogo kwa mchezaji tegemeo wa timu kama Yanga huku kwenye timu hiyo hiyo kuna wachezaji wanalipwa zaidi ya milioni 20, gap hiyo ina matatizo.
Linganisha vipato vya kina Diamond, Harmonize na Marioo ndiyo level anazotakiwa kuingiza mchezaji kama Feisal kama mmoja wa mastar wazawa. Hii najumuisha mshahara na mazagazaga mengine anayolipwa ndani na nje ya club.
Kiukweli kwa mpira wa sasa, kiwango cha chini cha malipo kwa timu kama Yanga au Simba kinatakiwa kuwa around milioni 8-10 na hii ni kwa wale wachezaji ambao ni wasugua benchi.