Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Anapiga Kimoja usiku na asubuhi kimoja??? Au Kimoja halafu teeh!!....je? Anatumia kilevi..fegi..gahwa??unampikia chakula aina gani? Je?anakunywa maji asubuhi na ya kutosha????mkiwa kitandani alfajiri mazingira yakoje?mnajifunika shuka moja?na kama ndio ukimsogezea makalio nini kinatokea????
 
Kuna kitu kinaitwa self esteeme... Yaaaaani umeicrush nyang'anyang'a..
Sijaelewa kwanini kwenye huu Uzi watu wengi wanamlaumu mleta mada wakati tatizo limeanzia kwa mwanaume.

Kukosa huo uwezo wa kumridhisha sio tatizo shida ni huyo mwanaume kuwa anatoka nje tena bila heshima. Kwamba mwanamke ndo Hana hisia hata asimuulize au ndo asiwe na panic button jamani. We dada hongera sana kwa uvumilivu endelea kuvumilia maana wanasema ndoa inahitaji uvumilivu
Kumbuka mkuu tunajadili hoja ya upande mmoja tu, hatujamsikiliza mume.

Mambo kama haya ukitaka kuwa "hakimu" mzuri, sharti uyasikilize pande zote.

Huyu mleta mada kasema machache sana ya upande wake, ndiyo hulka ya binadamu hiyo.

Je dosari zake akiwa ni mchafu kwa mfano na hana maneno ya kimahaba wawapo na mumewe?

Unategemea mume atasema "kajisafishe"shurely?

Nini maana ya kuchezwa unyago kwa mabinti?

Huyu anaonekana ana dosari nyingi sana hasa zitokanazo na kauli pamoja na kutokutimiza wajibu wa mke hasa kitandani.

Kupiga ki1 mara nyingi husababishwa na sababu nilizozieleza.

Yaani mtu anayafanya mapenzi ili kutimiza wajibu huku hisia kavurugwa, unadhani anaweza kukaa kwenye kinena cha mwanamke masaa mangapi?

Huyo jamaa kuna sehemu anapiga shoo mpaka anabanduliwa kwa nguvu na anaogopeka kitandani trust me.

Tungekuwa na uwezo wa kusikiliza pande zote, saazingine huyu mleta mada ndiye angelipatikana na "hatia"!
 
Situation ya mume wa huyo dada ndio nayopitis Mimi kwa Sasa.

Mtu wangu ana malalamiko 50 na Kenda.

Stimu na yeye zimekatika kabisa.

Nikiwa nashughulikia ni malalamiko kwa kwenda mbele yaani Haina mzuka kabisa. Inafika stage unaanza jihisi una upungufu wa nguvu za kiume.

Nikitoka gemu za pembeni unapiga mzigo safi kabisa hadi unajikubali.

Ukirudi kwake tabu tupu.

Stimu na yeye zimeniisha najaribu kuzirudisha haziji tabu tupu.

Hivi inawezakana ukawa unaempenda mtu ila hisia za ngono nae zimekatika[emoji1].

Damn Wanawake acheni makelele hakuna mwanaume anaependa mwanamke mpiga makelele Kila wakati

Mnatutoa mood sana hamjui tu.

Wanaume TUNAPENDA UTULIVU Wa NAFSI, AKILI na KIMWILI.

Ukishakuwa mpiga makelele halafu unajiona uko sahihi hata kama una makosa wewe kwakweli utaua uhusiano wako wewe mwenyewe
 
Ukiwa tayari nitaweka namba ya moja ya tour guide wa pale. Ili kuwauliza zaidi na kuweka reservation mfano ya tent.

PS: Kama unapenda sport fishing (kuvua samaki) pia ipo.
Bro niko tayari sasa.
Nisogezee namba nichekiane nao nijue kama bei zimeshabadilika na taratibu mwingine.
 
Huna Lugha nzuri!

Ulikua unaweza kufikisha Ujumbe wako bila kutumia maneno ya kuudhi...!

Sasa sijui kati yako na Mumeo, nani anamwaibisha mwenzake..!?
 
Dadangu umeharibu sana mm pia nliwahi kuambiwa hivo nna mwaka wa nne tunasex mda wa kutafta watoto tu.
Nje napiga show za kueleweka sana
Iko hivi wanawake mnakosaga mvuto sababu mmeo anakuona ukiwa na dela hujaoga hujapaka mekup.
Ni wanawake wachache sana wanaelewa namna ya kuishi na mme.
Siri kubwa ni kuwahi sana kuamka kabla ya mtu yyt hapo kwako then ufanye majuku yako mapema jamaa bado kalala ukimaliza ingia uoge jipake unukie mida ya saa 12 mtengee supu ama chai akiwa kitandani, nakwambia kabla ya chai utaliwa wewe kwanza ndo baadae chai.
Sasa wanawake hujipamba mnapoenda sokoni na kazini, mkiwa home mnajiachia
Kajinga! Haki nimechekaaaa!
 
Hata yeye anajua kua hakuridhishi ila hiyo kumtamkia waziwazi imemuumiza sana.

Hata kama hakupi mkuyenge inavyotakikana kuna namna anaweza kukufikisha(kama ni mtundu na sio mvivu).

Ila bahati mbaya hiyo ndoa inaonekana mnakomoana sana, huyu akifanya kisanga hiki wewe unajibu kwa kisanga kile.
Bila mmoja wenu kujishusha mtaja uana nyie.
Nakazia Sana ujumbe wako mkuu.Hawa wasipokuwa makini watakuja kuumizana siku moja
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Binadamu ataongea ukweli kwenye mazingira 2.

1. Akiwa amelewa
2. Akiwa na hasira
 
Back
Top Bottom