mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
-
- #41
pili bikira ni kwa bikira Maria tu....nyie wengine ni bikra.
Bikra ale mwingine kuliwaza niliwaze mimi?Kumbukumbu la Torati 22 : 17
- angalieni, amemwekea mambo ya aibu, asema, Sikuona kwa binti yako alama za ubikira, nazo hizi ndizo alama za binti yangu za ubikira. Na wayakunjue yale mavazi mbele ya wazee wa mji.
Jamani hebu niliwazee acha kuniumiza moyo
Hahaha! Halafu anasema hayuko romantic. Labda jamaa kagundua ilikuwa bikra ya kichina.[emoji1] maana ana uzoefu na mapenzi lakini bado alikuwa bikra.
Pole, labda alikuta tofauti na matarajio yake.Ndio hivyo
HahaaBikra ale mwingine kuliwaza niliwaze mimi?
Frank mume wa mtu huyo karudi kwa mkewe, jipange upya mrembo
Mbona kama una furaha wewe ndo umetolewa bikira juzi apo kweli[emoji1]Unakumbuka story ya Tajiri na Lazaro wa kwenye Biblia
Mwisho wa siku yule tajiri alijibiwa vipi
Ibrahimu akamwambia, ‘Wasiposikiliza na kutii sheria za Musa na Maandiko ya manabii, hawatashawishika kutubu hata kama mtu akifufuka kutoka kuzimu.”’
Nataka kusema hata mtu atoke kuzimu akuambie hivi huwezi kuaminiiiiiiiiii
Mvuvi unavuaa
Hapo Miaka 25 amenikula bikra
Technically ni kusema am 25 mileage ni ndogo nipo single
Muandiko wa kiume huwa haujifichi
Bikra ya nyuma sheheHuu mwandiko sio wa mwanamke aliyekuwa bikra siku kadhaa nyuma.
Ndugu mchangiaji wewe unaona ni haki kweli?Hahaa
Bikra ale mwingine kuliwaza niliwaze mimi?
Pole, labda alikuta tofauti na matarajio yake.
Sasa kwanini ukatae ninachoandikaa kwamba ni uongo sasa mimi niandike uongo utanisaidia nini
Elezea vizuri bikra ya wapiSasa kwanini ukatae ninachoandikaa kwamba ni uongo sasa mimi niandike uongo utanisaidia nini
Basi pole kwa maumivu,ila usije ukatafuta mwanaume mwingine haraka haraka ili umsahau,nenda bar kula vyombo rudi nyumbani lalaHata sijala chake
Mbona kama una furaha wewe ndo umetolewa bikira juzi apo kweli[emoji1]
Bikra ya nyuma shehe
Bikra ipi au ya nyuma??