Ngosha Mashine
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 665
- 1,360
Habari wana jukwaa, natumai hamjambo!
Mke wangu Mama Nyaiwa amekuwa akinilalamikia sana et kwann me sim'peleki kutembelea mbuga za wanyama,
Baada ya usumbufu wa mda mrefu nikaona msimu huu wa sikuu nim'tembeze nae akaone mbuga zetu,
Tulianzia Serengeti, tukaenda Ngorongoro pale oldvai na mwisho kabisa tukaupanda mlima Kilimanjaro kiukwel nanyi ndg zangu wa Tanzania tupende kutembelea vivutio vyetu
shukran ziwaendee [HASHTAG]#TANAPA[/HASHTAG]
Mke wangu Mama Nyaiwa amekuwa akinilalamikia sana et kwann me sim'peleki kutembelea mbuga za wanyama,
Baada ya usumbufu wa mda mrefu nikaona msimu huu wa sikuu nim'tembeze nae akaone mbuga zetu,
Tulianzia Serengeti, tukaenda Ngorongoro pale oldvai na mwisho kabisa tukaupanda mlima Kilimanjaro kiukwel nanyi ndg zangu wa Tanzania tupende kutembelea vivutio vyetu
shukran ziwaendee [HASHTAG]#TANAPA[/HASHTAG]