Baada ya kunilalamikia sana hatimaye nimefikisha mke wangu kileleni, kidogo azimie

Ngosha Mashine

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
665
Reaction score
1,360
Habari wana jukwaa, natumai hamjambo!

Mke wangu Mama Nyaiwa amekuwa akinilalamikia sana et kwann me sim'peleki kutembelea mbuga za wanyama,

Baada ya usumbufu wa mda mrefu nikaona msimu huu wa sikuu nim'tembeze nae akaone mbuga zetu,

Tulianzia Serengeti, tukaenda Ngorongoro pale oldvai na mwisho kabisa tukaupanda mlima Kilimanjaro kiukwel nanyi ndg zangu wa Tanzania tupende kutembelea vivutio vyetu

shukran ziwaendee [HASHTAG]#TANAPA[/HASHTAG]
 
usimpeleke tena maana utasababisha kifo chake
 
Sifa mojawapo ya ngosha ni kumpeleka mkewe mlima kilimanjaro angalaua mara 3 kwa wiki na sivinginevyo.
Hiyo ya mpaka msimu wa sikukuu ni lazima akosekose kuzimia.
 
Nimetoka huko nduuki kumbe [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]
 
Kkkkkkkkkk Nguvu ngosha, you made my day.

Kila mmoja aliyeutembelea uzi huu walikuwa na mawazo mengine. Nawe ukaja na story iliyotuondowa kwenye mategemeo ya kupata data za BLUE MOVIE STORIES.

Hongera kwa ubunifu mzuri
 
Hahahahahah ungesahidia wengi mkuu lkn umekuja tofauti hatari [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kkkkkkkkkk Nguvu ngosha, you made my day.

Kila mmoja aliyeutembelea uzi huu walikuwa na mawazo mengine. Nawe ukaja na story iliyotuondowa kwenye mategemeo ya kupata data za BLUE MOVIE STORIES.

Hongera kwa ubunifu mzuri
Sawa sawa mkuu, shukran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…