Sawa kaka🏃♀️🏃♀️🏃♀️😁🙄 Dada naomba usiseme chochote pita kimya usiamshe mizimu..
Black ☕️
Haha muache vya mtandaoNilikutana nae mtandaoni si nikajipinda kuomba picha nikijua naopoa pisi kali kumbe pisi kombe!.. na hii ndo picha yake
View attachment 1722924
Baada ya kuiona sikujibu chochote zaidi ya kumuwekea haka ka video
View attachment 1722930
Tuwe makini ndugu zanguni maana matusi niliyotukanwa na huyo kibonge mpk nimeota tujipu uchungu!.
Huna akili yyteMkuu unajua kusoma na kufikiri au unajua kusoma tu Ila kufikiri umewaachia wengine..?
Kama huyo pichaniiAhsante.. ila muandiko wako Kama wa kibonge fulani hivi! Anyway Ni fikira tu!