Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Nimechekaaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi nilijua tu, walikuwa wanaongea kwa mahaba sana.
Eti mimi nakupenda sana hadi nimechora tattoo yako, like WTF?

Ila hilo kanisa aiseee, waumini wake wapewe tuzo maana hamna kituko ambacho hakijatokea huko na hawaambiwi juu ya Nabii!
Na yale mashindano ya umiss jee[emoji23]
 
Hafu kweli ujuwe mvivu sana yule yaan ni aina ya watu wakishapataga hela wanarelax wanasahau na project kabisa akisinyaa kiuchumi ndo akili zinarud
Kama hiyo movie mpya ya Olema imeishia wapi?
 
Ndo hapo ila anakuaga na nyota sana ya kuopoa madanga yenye maokoto

Kibongobongo yeye na missa ndo wana nyota za kuopoa watu wenye maokoto
Wewe? Wamemzidi hadi Wema enzi zake?
 
Ache uongo irene kazaliwa 1976 sio huo umri eti 35 ache uongo kabisa wao na wema wawe wakweli kama wolper 50 years ndio wanazo sio eti 35 wakue waseme ukweli ukiwa mkweli utaenjoy sana
 
Ila wanawake bhana wanasura nyingi, naona na ameanz sfr yakuw pastor 🤔🤔
Asije kuw anaigiza ,maan muigizaji huyu
 

Attachments

  • 20240516_014903.jpg
    20240516_014903.jpg
    199.9 KB · Views: 11
Ila wanawake bhana wanasura nyingi, naona na ameanz sfr yakuw pastor 🤔🤔
Asije kuw anaigiza ,maan muigizaji huyu
Niliwaambia hapa ameokoka mkabisha, pengine amepokea wito wa Uchungaji.
 
Napenda sana kifua cha Airinii utadhani "konzi". Nakumbuka dogo janja enzi zile kabla ajamuoa airinii alikuwa anatamba eti amependwa na airinii kwasababu anamjolobe mkubwa na anapeleka moto mkali. Unaambiwa dogo janja alikuwa anaelea tu hadi Aiirinii akamaind nakusema this is bullshit na kumuacha janjaroo kwasababu Airinii alikuwa amezoea vitu vikubwa kama mkono wa mtoto "toddler's hand"
 
Anayeweza kunikutanisha na huyu irene kwa dau lisilozidi milion 2 kwa usiku mmoja
 
Hivi huyo dada umri wake huwa hauongezeki kila mwaka yeye umri wake unasoma 35 tu?
 
Back
Top Bottom