Mjini umri huwa unasimamishwa kwa stopwatch.Ana miaka 35?
Maweeeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjini umri huwa unasimamishwa kwa stopwatch.Ana miaka 35?
Maweeeeh
HahahaMjini umri huwa unasimamishwa kwa stopwatch.
Hayo "mengine" ni yapi?,tufumbue machoHao madogo ndio wepiiiii? Akina Lorde Mich?
Mi ninachojiuliza tu, ataacha na yale ‘mengine’? 😜
Una uhakika kamaliza madanga yako yote? Una uhakika hana soko? Tukimuweka Irene na mwanamke wako unahisi nani mkali?Ameonna kamaliza madanga town na keshazeeka hana soko sasa kaamua kuwa tapeli wa dini. Kuna watu watakuwa kuni zetu.
Hahaha🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣 kama nawaona wale madogo wa utatu mtakatifu wa kimanga...
Na wewe uokoke mdogo wetu Niffer acha mapepe 🤣🤣🤣🤣
UstaaaaUna uhakika kamaliza madanga yako yote? Una uhakika hana soko? Tukimuweka Irene na mwanamke wako unahisi nani mkali?
Kwa hiyo kuokoka hua ni kama show ya kuwaonyesha wanadamu? Unatunza ushuhuda gani wakati anaye hukumu ni Mungu? Au mungu atahitaji ushuhuda wa binadamu kama vile yeye hajui? Kwani huwezi kumkataa shetani ikiwa wewe na Mungu wako tu ndio mkawa mnajua?
Una uhakika kamaliza madanga yako yote? Una uhakika hana soko? Tukimuweka Irene na mwanamke wako unahisi nani