Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
Ukishakuwa na hela halafu hujui utaifanyia nini amini kwamba soon utajikuta hauna kitu.Miez kazaa nyuma niliondokea na baba mzazi,,, tukaanza process za mirath, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu,
Sasa huyu shemej yenu simuelew hapo nyuma alibadilika akawa haelewk tangu mirath imetoka kawa mpole mapenz motomoto simuelew kaamua kujirekebisha au nii hii mirath anaiwinda
hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nn.
Tafuta sehemu nzuri nunua viwanja vyako kama vi 3, kutokana na sehemu hiyo.hakikisha havina mgogoro, hakikisha una hati. Piga kimya. Kama kuna kitu cha kuchangia ndani ya familia kisichozidi mil 2 changia.Miez kazaa nyuma niliondokea na baba mzazi,,, tukaanza process za mirath, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu,
Sasa huyu shemej yenu simuelew hapo nyuma alibadilika akawa haelewk tangu mirath imetoka kawa mpole mapenz motomoto simuelew kaamua kujirekebisha au nii hii mirath anaiwinda
hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nn.
Siku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.Tafuta sehemu nzuri nunua viwanja vyako kama vi 3, kutokana na sehemu hiyo.hakikisha havina mgogoro, hakikisha una hati. Piga kimya. Kama kuna kitu cha kuchangia ndani ya familia kisichozidi mil 2 changia.
Usipofata ushauri wangu utalia kwa uchungu hapo baadae. Eti kisa anajua sasa hivi una pesa ndo mapenzi moto moto? Huyo anataka pesa hakuna cha mapenzi.
N.b aridhi ndo kitu pekee chenye thamani ambacho hakihitaji usimamizi wa mara kwa mara.
Huwajui wanaume anaweza kukudanganya ukampa hesa na akazila na mwanamke mwingine.
Ushauri mzuri sana .Tafuta sehemu nzuri nunua viwanja vyako kama vi 3, kutokana na sehemu hiyo.hakikisha havina mgogoro, hakikisha una hati. Piga kimya. Kama kuna kitu cha kuchangia ndani ya familia kisichozidi mil 2 changia.
Usipofata ushauri wangu utalia kwa uchungu hapo baadae. Eti kisa anajua sasa hivi una pesa ndo mapenzi moto moto? Huyo anataka pesa hakuna cha mapenzi.
N.b aridhi ndo kitu pekee chenye thamani ambacho hakihitaji usimamizi wa mara kwa mara.
Huwajui wanaume anaweza kukudanganya ukampa hesa na akazila na mwanamke mwingine.
Labda aniroge aiseee,Ushauri mzuri sana .
Ukizubaa hyo pesa utalisha mchepuko wa shemeji soon
Miez kazaa nyuma niliondokea na baba mzazi,,, tukaanza process za mirath, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu,
Sasa huyu shemej yenu simuelew hapo nyuma alibadilika akawa haelewk tangu mirath imetoka kawa mpole mapenz motomoto simuelew kaamua kujirekebisha au nii hii mirath anaiwinda
hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nn.
Pesa na bia ni tamu kwakweli....Hahahahah hapo mchawi hujamjua tu! Mapenzi yamerudi kwa kasi ya SGR baada ya kusikia kitita kimehamishiwa NMB kwa amri ya mahakama!
Duh mkuu kua makini, kama mlifikia hadi kutengana vyumba asije kukunyonga usiku huyo.. dunia imebadilika sana.Siku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Anaweza hata kukutoa roho,, ila jamani😥Siku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Wewe ndo unaish nae Una mjua roho yake husije uka mpa pesa haka tokomea nazo kusiko julikanaSiku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Ni Jambo zur umesha mshitukia nia yake kuwa Makin husije ukwa logwa ukampa pesa zoteEt siku hizi naandikiwa sms mchana mamy umekula..yan nacheka mpaka nakojoa
Ukimpa hela umeumiaSiku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Kumpa hela siwezi aisee, nikijitahidi sana labda kumnunulia shati la elf 15 basWewe ndo unaish nae Una mjua roho yake husije uka mpa pesa haka tokomea nazo kusiko julikana