Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,018
- 2,130
- Thread starter
-
- #21
Hapo kwenye fixed AC naomba bas kama unauelewa kidogo unisaidie maana naliwaza hili sana ,,,Ukimpa hela umeumia
Yaani ukijifanya mapenzi yamerudi unapigwa nankitu kizito paaaaaaap ukizinduka karudi chumbani kwake na hela huna.
Kama haina matumizi iweke fixed account au liquid ya utt
Siku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Wewe utachunwa mpaka ukome!Miez kazaa nyuma niliondokea na baba mzazi,,, tukaanza process za mirath, wiki iliyopita tumepata kama mil 18 kila mtu,
Sasa huyu shemej yenu simuelew hapo nyuma alibadilika akawa haelewk tangu mirath imetoka kawa mpole mapenz motomoto simuelew kaamua kujirekebisha au nii hii mirath anaiwinda
hapa nimetulia pesa nimeweka bank sijajua naifanyia nn.
[emoji122][emoji122][emoji122]Tafuta sehemu nzuri nunua viwanja vyako kama vi 3, kutokana na sehemu hiyo.hakikisha havina mgogoro, hakikisha una hati. Piga kimya. Kama kuna kitu cha kuchangia ndani ya familia kisichozidi mil 2 changia.
Usipofata ushauri wangu utalia kwa uchungu hapo baadae. Eti kisa anajua sasa hivi una pesa ndo mapenzi moto moto? Huyo anataka pesa hakuna cha mapenzi.
N.b aridhi ndo kitu pekee chenye thamani ambacho hakihitaji usimamizi wa mara kwa mara.
Huwajui wanaume anaweza kukudanganya ukampa hesa na akazila na mwanamke mwingine.
Kumpa hela siwezi aisee, nikijitahidi sana labda kumnunulia shati la elf 15 bas
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji16][emoji16][emoji16] kumamakkk alitaka akunyonyee hadi anal line! Ungeshangaa mapenzi ya ghafla! Afu utoe hizo mil 2 akatomb33 Malaya mwingine...Siku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Hii nayo pointDuh mkuu kua makini, kama mlifikia hadi kutengana vyumba asije kukunyonga usiku huyo.. dunia imebadilika sana.
Muombe Mungu asee maana pesa ni shetani mtu anaeza fanya chochote ili aipate, tena umemtajia nyingi hivyo... Mungu akutangulie mkuu!!
[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji38] Hachelewi kukwambia kuwa anataka akutawaze kila unaenda toi[emoji1787]Et siku hizi naandikiwa sms mchana mamy umekula..yan nacheka mpaka nakojoa
Hapana 15 yote hiyo???Kumpa hela siwezi aisee, nikijitahidi sana labda kumnunulia shati la elf 15 bas
Shida sio kurogwa shida ni hela kuisha na hujafanya kitu cha maana na inaonesha bado hujasimama ndo maana mwenzio anasema ni bora ununue viwanja vyako baada ya mda ukishajipanga unaweza hata kuuza ama kujenga na mambo mengineLabda aniroge aiseee,
Karibu uholanzi 😋Pesa na bia ni tamu kwakweli....
Haina cha jinsia hii
Kumpa hela siwezi aisee, nikijitahidi sana labda kumnunulia shati la elf 15 bas
Sahihi sana mkuu, nilikuwa na m9 ndani ya miezi mi 3 nimebaki na m 1.2 alafu sijui Hata imeishajeUkishakuwa na hela halafu hujui utaifanyia nini amini kwamba soon utajikuta hauna kitu.
Ilitakiwa wakati upo kwenye mchakato wa kuipata upange kabisa chakufanya.
Muulize kwanzaa biashara gani naSiku hela imetoka nilioigiwa cm kwenda mahakamn kufunga jarada alikuwepo nimerudi akaja chumban kwangu maana kila mtu alikua analala chumbani kwake! mmepewa kias gani nikamwambia m28,, nikaona kapata kiwewe kesho yake et nimuazime mil 2 afanyie biashara atanipa nilicheka kwa sauti badae nikamwambia naomba nilale hajaniambia tena.
Sikudanganyi best bora nipeleke kwa watoto yatima nitapata baraka kuliko kumpa hata elf 50Muulize kwanzaa biashara gani na
wewe utahusika vipi.
Na Kama utampa hyo milioni 2.hakikisha hautoi nyingine kwa ajili ya hyo biashara.
"pesa huvuta mahaba"