Baada ya kuondoka Hayati Magufuli tumebakiwa na Tundu Lissu, vijana tujifunze uzalendo

Baada ya kuondoka Hayati Magufuli tumebakiwa na Tundu Lissu, vijana tujifunze uzalendo

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari jJF, Tundu Lissu na Hayati JPM wana sifa kuu mbili:-

1. Ni watu wenye misimamo

2. Wote hayati Magufuli na Tundu lissu ni wafia Nchi .

Kwa maana rahisi hawa watu wawili ni alama ya Uzalendo vijana tuna kitu cha kujifunza hapa.

Tukitengeneza kizazi kizalendo tutapata suluhu ya mambo mengi sana.​
 
Habari jf , Tundu Lissu na Hayati JPM wana sifa kuu mbili:-

1. Ni watu wenye misimamo

2. Wote hayati Magufuli na Tundu lissu ni wafia Nchi .

Kwa maana rahisi hawa watu wawili ni alama ya Uzalendo vijana tuna kitu cha kujifunza hapa.

Tukitengeneza kizazi kizalendo tutapata suluhu ya mambo mengi sana.​
Acha kumlinganisha magufuli shujaaa na vitu vya ajabu ajabuu
 
Habari jf , Tundu Lissu na Hayati JPM wana sifa kuu mbili:-

1. Ni watu wenye misimamo

2. Wote hayati Magufuli na Tundu lissu ni wafia Nchi .

Kwa maana rahisi hawa watu wawili ni alama ya Uzalendo vijana tuna kitu cha kujifunza hapa.

Tukitengeneza kizazi kizalendo tutapata suluhu ya mambo mengi sana.​
Kutoka kwenye kumtuhumu kuwa anashabikia ushoga Hadi kumuita mzalendo? Acheni MUNGU aitwe MUNGU.

CCM mmebakiwa na aibu tu.
 
Habari jf , Tundu Lissu na Hayati JPM wana sifa kuu mbili:-

1. Ni watu wenye misimamo

2. Wote hayati Magufuli na Tundu lissu ni wafia Nchi .

Kwa maana rahisi hawa watu wawili ni alama ya Uzalendo vijana tuna kitu cha kujifunza hapa.

Tukitengeneza kizazi kizalendo tutapata suluhu ya mambo mengi sana.​
Magufuli hamfikii Lissu hata Kwa 0.1% tuweni wakweli wa nafsi. Lissu Yuko ulimwengu mwingine kabisa aiseeee.

Dominica njema
 
Habari jf , Tundu Lissu na Hayati JPM wana sifa kuu mbili:-

1. Ni watu wenye misimamo

2. Wote hayati Magufuli na Tundu lissu ni wafia Nchi .

Kwa maana rahisi hawa watu wawili ni alama ya Uzalendo vijana tuna kitu cha kujifunza hapa.

Tukitengeneza kizazi kizalendo tutapata suluhu ya mambo mengi sana.​
Kama alikuwa Mzalendo mlikuwa mnamuwinda wa nini? Sukuma gang bwana 😁😁
 
Tanzania watu tunao sema tu basi kuna mwamba anaitwa Boniface Mwabukusi wakili huyo katafute interview zake jamaa amenyooka sana fully confidence yuko smart sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Habari jf , Tundu Lissu na Hayati JPM wana sifa kuu mbili:-

1. Ni watu wenye misimamo

2. Wote hayati Magufuli na Tundu lissu ni wafia Nchi .

Kwa maana rahisi hawa watu wawili ni alama ya Uzalendo vijana tuna kitu cha kujifunza hapa.

Tukitengeneza kizazi kizalendo tutapata suluhu ya mambo mengi sana.​
Wafia nchi wa wapi, hakuna kitu hapo. Aliwanyima watumishi wa umma haki yao ya kisheria hofu awe mfia nchi, nchi gani hiyo labda isiyo na watumishi wa umma. Lisu anayetamba wanawe wana uraia wa usa hivyo yeye amani ya tz haimuhusu
 
Hata mimi nimeshangaa huyo jamaa kumfananisha Lisu na shetani.
Munaanza kujikosha Kwa jpm ili eti mshawishi wananchi wanaompenda na walimlilia kipenzi Chao jpm. Eti na nyie kwasa mtajikosha eti mnasimama na magufuli mkidhani hatujui mlivyoshangiria. Hatuja wasahau. Huyo jamaa yenu alizunguka Dunia nzima kumtukana, Leo hiii anajikosha eti afadhali ya jpm, tangu lini akamsema vizuriii, hatuja sahau kauli zenu.
 
Back
Top Bottom