Baada ya kuonekana ndani ya IST, Wanazengo wamshutumu Mama Diamond ushirikina

Baada ya kuonekana ndani ya IST, Wanazengo wamshutumu Mama Diamond ushirikina

Video inayozagaa kwa sasa , ikumuonyesha Mama Diamond akipanda gari aina ya IST huku pembeni parking ikiwa imejaa magari ya kifahari, imezua hali ya sintofahamu kwa wapenda ubuyu na kuuliza kulikoni Mama wa star nambar one bongo apande gari hiyo ambayo mara nyingi inatumiwa kama Uber mjini .

Usafiri huo ambao ulikua unaendeshwa n mume wake uncle shamte umezua minon’gono mjini huku watu wakidai huenda hayo ni masharti ya Mganga ambayo anafuata.

Mwaka Jana kwenye birthday ya mama huyo , alizawadiwa gari aina ya V8 yenye thaman ya mamillion ya kutosha, hivyo wadau walishtuka why Mama huyo mpenda mashauzi mjini aamue kutumia usafiri bubu....


Ila wanazengo na nyie acheni nongwa, sasa hiyo V8 mlitaka awe anaenda nayo kila sehem? Isitoshe ligari linaboa , ni kubwa n na ina consume too much diesel , it’s not comfortable kila sehem kutembea nalo hata kama ana misele yake ya hapa na pale .

Kuhusu mama D kutumia usafiri huo nadhan ni maamuzi tu , sidhan kama ni mambo ya ushirikina ingawa bi kidude inajulikana ni mshirikina mzuri tu .
Kwa hyo Umehamua kuwanga wambea wenzako sio
 
Kuna watu wanapenda tu kuishi "lowkey" hata kama wana pesa kiasi gani.. Mimi personally siwezi mshangaa, Kuna mzee mmoja mtaani yeye ana pesa, wanae wakiume wote wana pesa vibaya mno, binti yake anafanya kazi US na kaolewa huko, ila huyu mzee siku zote utamkuta na ki IST chake, au pikipiki yake kama boda boda japokuwa kwenye parking kuna gari zaidi ya 6 na zote za gharama tu.. ni maisha tu ya kawaida ambayo mtu anaamua kuishi
 
Wee mpwa bado tyuh hujamjua mama domo? Huyo anatafuta tu kuzungumziwa, mxieeeeew Zake
 
Back
Top Bottom