Tupia ka vidio basiNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Bila kujali mali zake alizipataje lakini ameviacha vyote.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Mkuu hata uwe na suruali 200 kwenye kabati hakuna siku utqvaa mbili mbili kwa pamoja.Watu wenye hela wanapenda viwanja vikubwa kuanzia 2000sqm hadi 5000sqm na zaidi.
Izi ishirini kwa ishirini ni dalili ya kukosa hela tu.
Duh! Ila kulinganisha uchumi wa Usa na Tanzania ni kuonea mno. Ni ukubwa wa tembo na sisimiziMkuu hata uwe na suruali 200 kwenye kabati hakuna siku utqvaa mbili mbili kwa pamoja.
Wazungu wana hela ila wanaishi kwa kiasi. Pesa inayozidi wanatoa misaada ndio hizi pesa tunazoletewa misaada kuchimba vyoo, Shule bure, matibabu ya TB HIV bure, miradi ya matibabu kwa Mama na Watoto bure.
Sisi wafrika tunawekeza kwenye umimi na Ubaltazsar.
Ndio maana hatuendelei. Uchoyo hauleti maendeleo hata siku moja
Too younger to Die. Huu ni umri pengine hizo nyumba na peda kazipata miaka 10 tu iliyopita. The rest 42yrs of hustling zimeenda bure.Nyumba ya milele ni Kaburi , usiingie msongo wa mawazo wa bure. Huyo Mafuru amekufa akiwa na miaka 52 tu.
Bata bata linakuachia mgeni uteseke naye ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈToo younger to Die. Huu ni umri pengine hizo nyumba na peda kazipata miaka 10 tu iliyopita. The rest 42yrs of hustling zimeenda bure.
Yaani aiseeBata bata linakuachia mgeni uteseke naye ππΏββοΈππΏββοΈππΏββοΈ