Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ile Bandari Darisalama.Njoo uone bandari yangu utazimia kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile Bandari Darisalama.Njoo uone bandari yangu utazimia kabisa
Bado mdogo Sana kustahili kifoNyumba ya milele ni Kaburi , usiingie msongo wa mawazo wa bure. Huyo Mafuru amekufa akiwa na miaka 52 tu.
Hujakutana nao tu. Mbona wapo wanaovaa hadi 3. Moja inashuka kidogo chini nyingine zinakuwa kwa juuMkuu hata uwe na suruali 200 kwenye kabati hakuna siku utqvaa mbili mbili kwa pamoja.
Mzee umeshajimilikisha mzigo?Njoo uone bandari yangu utazimia kabisa
HahahaHujakutana nao tu. Mbona wapo wanaovaa hadi 3. Moja inashuka kidogo chini nyingine zinakuwa kwa juu
Wanaume wa kiafrika mnawaza ngono tu. Mwisho wa siku hata hizo hela mzipatiTafuta hela hakuna mwanamke mgumu
Sawa kajenga hekalu ila si kaliacha...Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Unamaanisha umbali wa Ubungo na MbeziNyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Huyo mchanga haumhusu,wataweka tiles,na maji ya baraka.Na hilo hekalu lake mbona ameliacha amelamba mchanga??
Angeenda nalo mbinguni.
Wala hupajui, video tu imekuchanganya.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Sasa yeye kazungukwa na 10x20,10x15 kibaaaaaoWatu wenye hela wanapenda viwanja vikubwa kuanzia 2000sqm hadi 5000sqm na zaidi.
Izi ishirini kwa ishirini ni dalili ya kukosa hela tu.
Kuna watu wanaishi PEPONI kabla hata wNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu