Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

Uache kutoa charities saizi usubirie baada ya Kufa? Mwenzako ameachia mbwa Urithi wa mabilioni kisa ujinga kama huo.

Acha legacy Kwa kusaidia watu saizi Ili na kizazi chako kisalie kwenye kumbukumbu.
una hakika gani sisaidii watu?
aliyeachia urithi mbwa umeongelea tu upande huo, unajua namna gani amesaidia wahindi maskini wakati wa uhai wake? au mnapenda tu kuandika hadithi mnazozipenda za upande mmoja. jamaa kawaacha vema mpaka wasaidizi wake wa kawaida kabisa "vijakazi". ambavyo sidhani kama wewe ChoiceVariable ungediriki kuwaachia ule ukwasi.
 
Wala hupajui, video tu imekuchanganya.
Kajenga uswahilini kazungukwa na waswahili ila pembeni kuna mshua mmoja tu, ana eneo kubwa.
Kajenga nyumba kwa ndaani kaweka paving blocks.
Sasa ukitaka upate kichaaa kutafuta hela nenda mbweni malindi.

Kuanzia kona ya kuingia mbweni njoo kata kushoto uchungulie kulia kwako au nyoosha kama unaenda jkt kuelekea malindi uchungulie kushoto kwako utalaani kuzaliwa.

Mafuru kajenga uswaaa sana na nasikia eneo alipwa na ba mkwe mzee marehemu SHAO, EX EMPLOYEE TANESCO
Mbona mapovu! Kaongelea nyumba yake na sio wanaomzunguka! Wivu utakuua wewe!
 
Tafuta hela uboreshe maisha yako na sio kujilinganisha na mtu. Mimi nimepata bahati ya kuwa karibu na wanariadha nikaelewa vizuri haya maisha. Madogo wanatoka vijijini hata kiswahili hawajui vizuri ila akienda Ulaya kushiriki mbio moja tu akirudi sio mwenzenu.
 
tafuta Mungu kwanza, vyote alivyotafuta ameviacha, kinachomatter ni huko alikoenda, alifanya maandalizi au ndio anaungua moto. where will you spend your eternity, that's what matters, itamfaa nini mtu kuupata ulimwengu huu wote, iwe kwa haki au bila haki, lakini mwisho wa siku akapoteza nafsi yake katika moto wa milele? sio siku moja au mbili ni milele!

ni kweli tunatakiwa kutafuta maisha, ila Mungu kwanza, okoka umpe Yesu maisha ili ukifa awe amekuandalia mahali pazuri, kuliko kufa na ukawa huna pa kwenda ila motoni. wengi mnajidanganya huko ukatolikini na dini zingine kwamba mtu akifa unaweza kumwombea siku ya mazishi akasamehewa dhambi zake, ingekuwa hivyo Mungu asingekukataza dhambi, kwa sababu ingekuwa rahisi tu, unafanya dhambi upendavyo na hatima yako ipo mikononi mwa padre kukuombea msamaha siku ya mazishi then unaenda mahali pazuri. ukweli ni kwamba, padre naye anatoa hesabu binafsi mbele za Mungu, Biblia inasema kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, hata baba hatachukua mzigo wa mwanae wala mwana mzigo wa babaye, kwa sababu kila mtu atatoa hesabu yake binafsi. baba hawezi kuomba msamaha badala ya mwana, unatakiwa kutubu binafsi, na nafasi hiyo ipo ungali hai, ukifa hauna nafasi kutubu,mlango umefungwa. tunawaambia haya ili kunawa mikono, damu yenu haitadaiwa mikononi mwetu siku mkitupwa jehanum. Mungu awasaidie muelewe.
 
Mwisho wa siku hata urundike pesa kiasi gani unakuta haijakidhi haja Yako ndio maana matajiri wanaishia kugawa tuu Kwa wenye uhitaji ndio walau unapata Ile sense ya shukrani 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DCR6VjYifvM/?igsh=Z2FocWtkM3BjdWhy

Bora kusaidia watu tu kuliko kujenga hayo mahekalu yasiyo na maana yoyote.

Hivi Lucas Mwashambwa akifa ataacha urithi kweli?? Nahisi atabeba hekalu lake aende nalo motoni.

Luca ni wa motoni tu yule mwehu, atachomwa vishavu vyake huku anabubujikwa machozi.

Cc: Poor Brain Mbaga Jr Kalpana Extrovert
 
tafuta Mungu kwanza, vyote alivyotafuta ameviacha, kinachomatter ni huko alikoenda, alifanya maandalizi au ndio anaungua moto. where will you spend your eternity, that's what matters, itamfaa nini mtu kuupata ulimwengu huu wote, iwe kwa haki au bila haki, lakini mwisho wa siku akapoteza nafsi yake katika moto wa milele? sio siku moja au mbili ni milele!

ni kweli tunatakiwa kutafuta maisha, ila Mungu kwanza, okoka umpe Yesu maisha ili ukifa awe amekuandalia mahali pazuri, kuliko kufa na ukawa huna pa kwenda ila motoni. wengi mnajidanganya huko ukatolikini na dini zingine kwamba mtu akifa unaweza kumwombea siku ya mazishi akasamehewa dhambi zake, ingekuwa hivyo Mungu asingekukataza dhambi, kwa sababu ingekuwa rahisi tu, unafanya dhambi upendavyo na hatima yako ipo mikononi mwa padre kukuombea msamaha siku ya mazishi then unaenda mahali pazuri. ukweli ni kwamba, padre naye anatoa hesabu binafsi mbele za Mungu, Biblia inasema kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe, hata baba hatachukua mzigo wa mwanae wala mwana mzigo wa babaye, kwa sababu kila mtu atatoa hesabu yake binafsi. baba hawezi kuomba msamaha badala ya mwana, unatakiwa kutubu binafsi, na nafasi hiyo ipo ungali hai, ukifa hauna nafasi kutubu,mlango umefungwa. tunawaambia haya ili kunawa mikono, damu yenu haitadaiwa mikononi mwetu siku mkitupwa jehanum. Mungu awasaidie muelewe.
Moto wa Mungu unaujua au unapayuka tuu?
 
Back
Top Bottom