Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

Kwa wale wasiofahamu...

Msibani pia ni mahala pa kusoshalaizi hasa kwa ambao wanatafuta connection sababu hakuna mualiko wala kuulizwa umekuja kumfata nani.
Wadada wanaweza pata wenza, wakaka wanaweza pata wake/wachumba.

Zingatia kwenda ukiwa nadhifu na usipitilize muonekano, keep it simple and thank me later 😉.
 
Hapo wakina mwigulu and the likes vichwa vinazidi kuwaka moto namna gani wapige pesa wawe zaidi ya hapo.
Mzee wa Esther Luxury ni billionaire mzito sana kwa sasa. Hawezi kuwaza kajumba ka chini kama hako. Yule atajenga hata Mansion akitaka. Migao ya BOT sio ya kitoto nikimkadiria jamaa hakosi 100B kwenye hifadhi zake.

Watu wanapiga mishindo unasukumiwa billions utafananisha na huyo jamaa ambaye hata 10 Billions huenda hajafikisha katika hussle zake zote.
 
kwa kujua maisha ya dunia si lolote kuna standards nimeziset. basi ndugu wananiona mtu wa ajabu sana. sina mpango wa kuwa na watoto wengi. ninaye 1 ananitosha, nikihataji nitaasili, sina mpango wa maviwanja na ma-nyumba mengi. kwangu kikubwa ni pesa ya kutosha ambayo nitawekeza kwenye hatifungani za serikali ikaniwezesha kuishi maisha middle-class. nikifa pesa zitaenda kwa mwanangu na charities.
Safi sana minimalist mwenzangu
 
Mkuu hata uwe na suruali 200 kwenye kabati hakuna siku utqvaa mbili mbili kwa pamoja.

Wazungu wana hela ila wanaishi kwa kiasi. Pesa inayozidi wanatoa misaada ndio hizi pesa tunazoletewa misaada kuchimba vyoo, Shule bure, matibabu ya TB HIV bure, miradi ya matibabu kwa Mama na Watoto bure.

Sisi wafrika tunawekeza kwenye umimi na Ubaltazsar.

Ndio maana hatuendelei. Uchoyo hauleti maendeleo hata siku moja
Ubaltazsarism as Baltazsarist.
 
Back
Top Bottom