brownjosephati
JF-Expert Member
- Jun 7, 2024
- 549
- 674
Sasa kwa taarifa yako tu mimi naishi ushuani na nina Nyumba yenye hadhi ya nyota 5,Mbona mapovu! Kaongelea nyumba yake na sio wanaomzunguka! Wivu utakuua wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwa taarifa yako tu mimi naishi ushuani na nina Nyumba yenye hadhi ya nyota 5,Mbona mapovu! Kaongelea nyumba yake na sio wanaomzunguka! Wivu utakuua wewe!
Ushuani ndio wapi wewe mpuuzi!? Wivu na roho mbaya vinakusumbua.Sasa kwa taarifa yako tu mimi naishi ushuani na nina Nyumba yenye hadhi ya nyota 5,
Ni uoga wa maisha ikiwa una billion 10 bank and still making more ila umepanga.Kwanza kujenga ni uoga wa maisha🐼
Mzee wa Esther Luxury ni billionaire mzito sana kwa sasa. Hawezi kuwaza kajumba ka chini kama hako. Yule atajenga hata Mansion akitaka. Migao ya BOT sio ya kitoto nikimkadiria jamaa hakosi 100B kwenye hifadhi zake.Hapo wakina mwigulu and the likes vichwa vinazidi kuwaka moto namna gani wapige pesa wawe zaidi ya hapo.
Mawazo ya masikin hayaNa hilo hekalu lake mbona ameliacha amelamba mchanga??
Angeenda nalo mbinguni.
harmorapaYule msanii wa Kenya aliyemjengea mama yake Mall anaitwa nani??
Mungu akutie nguvu kwenye hilo mkuuNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Unawahadaa vijana Mkuu....with due respect sehemu kubwa ya ukwasi walionao watu wengi including Marehemu ni zao la Wizi..watu wanafuatilia mambo siku hiziRidhika na hatua yako, endelea kutafuta
NImeipenda hiiUnajiona unasafari ndefu kwani duniani umekuja kushindana? Ndiomaana mnakufa kwa mapresha&magonjwa ya moyo kwa kushindana na uhalisia.
Dunian hatuko sawa na hatutokuja kuwa sawa, mind yourself acha tamaa&mashindano utakufa siku si zako
Safi sana minimalist mwenzangukwa kujua maisha ya dunia si lolote kuna standards nimeziset. basi ndugu wananiona mtu wa ajabu sana. sina mpango wa kuwa na watoto wengi. ninaye 1 ananitosha, nikihataji nitaasili, sina mpango wa maviwanja na ma-nyumba mengi. kwangu kikubwa ni pesa ya kutosha ambayo nitawekeza kwenye hatifungani za serikali ikaniwezesha kuishi maisha middle-class. nikifa pesa zitaenda kwa mwanangu na charities.
Kwahiyo jamaa alinasa umeme au?Bata bata linakuachia mgeni uteseke naye 🙆🏿♂️🙆🏿♂️🙆🏿♂️
Ubaltazsarism as Baltazsarist.Mkuu hata uwe na suruali 200 kwenye kabati hakuna siku utqvaa mbili mbili kwa pamoja.
Wazungu wana hela ila wanaishi kwa kiasi. Pesa inayozidi wanatoa misaada ndio hizi pesa tunazoletewa misaada kuchimba vyoo, Shule bure, matibabu ya TB HIV bure, miradi ya matibabu kwa Mama na Watoto bure.
Sisi wafrika tunawekeza kwenye umimi na Ubaltazsar.
Ndio maana hatuendelei. Uchoyo hauleti maendeleo hata siku moja
Eneo kubwa sana
Ukimsoma muhubiri kalizungumzia sana hiliBila kujali mali zake alizipataje lakini ameviacha vyote.
Watabaki wanatafuna wale ambao hawakutoa jasho hata siku moja. Na hao ndio wajanja