Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

Baada ya kupaona nyumbani kwa marehemu Mafuru, sina budi kusema bado nina safari ndefu sana ya kutafuta pesa

Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.

Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!

Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Jifunze kujikuna hadi pale mkono wako unapofika. Usiishi kwa kushindana wala kujilinganisha na watu wengine. Mungu kampa kila mtu kiwango cha riziki yake kwa jinsi apendavyo yeye. Fanya kazi kwa bidii, huku ukimwomba Mungu akuongoze katika utafutaji wako.
 
Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.

Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!

Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Utakufa bila kuipata hiyo pesa! Ridhika na utakachokuwa nacho kujilinganisha na watu mkuu utakufa kwa msongo wa mawazo! Mwenzio wala hakuhangaika hivyo kuipata hiyo hela! Shule hiyo!
 
Back
Top Bottom