Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kujikuna hadi pale mkono wako unapofika. Usiishi kwa kushindana wala kujilinganisha na watu wengine. Mungu kampa kila mtu kiwango cha riziki yake kwa jinsi apendavyo yeye. Fanya kazi kwa bidii, huku ukimwomba Mungu akuongoze katika utafutaji wako.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Tafuta hela mkuu acha kujipa moyo. Maskini haishi milele.Unajiona unasafari ndefu kwani duniani umekuja kushindana? Ndiomaana mnakufa kwa mapresha&magonjwa ya moyo kwa kushindana na uhalisia.
Dunian hatuko sawa na hatutokuja kuwa sawa, mind yourself acha tamaa&mashindano utakufa siku si zako
Ok mkuu."Not to that extent"
Aikambee manka🤣🤣, kwenu tatizo hamuuzi ardhi nitafutie kakaako tuje tujenge msitu wetu kama wa Dr Mengi kule 🤣🤣
Utakufa bila kuipata hiyo pesa! Ridhika na utakachokuwa nacho kujilinganisha na watu mkuu utakufa kwa msongo wa mawazo! Mwenzio wala hakuhangaika hivyo kuipata hiyo hela! Shule hiyo!Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Siyo kweli! Mafuru kwenye system amekuwamo muda mrefu sana almost 25 years.Too younger to Die. Huu ni umri pengine hizo nyumba na peda kazipata miaka 10 tu iliyopita. The rest 42yrs of hustling zimeenda bure.
Picha ingependezs zaidiNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Umeandika pumbaKuna watu wanaishi PEPONI kabla hata w
hawajafa. Kuna wengine tunaishi JEHANAMU kabla hata ya kufa!
Usawa wa Binadamu, upo kwenye KUKATA ROHO tu! Hata MAZISHI hatufanani!
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Hasa kutoa vinyeoHivi huwa inakuwaje hadi mnatamani mafanikio ya watu wengine haswa kwenye mali??!! watu wa namna hii huwa nawaogopa sana, nina uhakika wanaweza kufanya lolote kisa mali
Wakina nani ndio wanastahili kifo we taahiraBado mdogo Sana kustahili kifo
Ukimwi Upo mkuu🙏Na kaacha mke mkali sana yaani!.
Tupia video mkuu kama utojaliNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Yupo salama kweliNa kaacha mke mkali sana yaani!.
Na hilo hekalu lake mbona ameliacha amelamba mchanga??
Angeenda nalo mbing
Ndiyo .ana kafa bado mdogo ukitaka kufa kijana we kaishi na waswahili wana roho mbaya sana.Sasa yeye kazungukwa na 10x20,10x15 kibaaaaao