Baada ya kupata Chakula unapenda kushushia na kinywaji gani?

Mara tu baada ya kupata/Kula chakula chako Lunch au dinner unapendelea kushushia na kinywaji gani?

Binafsi napendelea kuywa Pepsi au Coke ya Baridi kabisaa.

CC Zero IQ
Napendelea Juisi ya Ukwaju na Maji Lita 1 baridi.
 
Hapa tunadanganyana tu.Asilimia kubwa huwa tunabugia maji ya kudownload bombani.Ninyi wa juisi na gongo ni asilimia ndogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…