Baada ya kupata Chakula unapenda kushushia na kinywaji gani?

Inashauriwa baada ya mtu kupata chakula asinywe maji hapo hapo hadi walau muda wa saa moja na zaidi upite !
La sivyo tumbo linaweza kujaa na kuathiri mmeng’enyo wa chakula tumboni !
Kinywaji kinachofaa baada ya chakula baada ya chakula ni vizuri kiwe kizito mfano maziwa ya mgando, juisi ya parachichi n.k


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…