Baada ya kupiga picha ya passport size nimestuka sana kuona sura ilivyozeeka, vioo huwa vinatudanganya ?

Uzee ni dawa, mzee ni baraka, uzee ni shukrani kwa Mungu kwamba amekuchagua na wewe uishi uishi miaka mingi uone mengi. Jiandae zaid baada ya miaka 10 ijayo upumzke kufurahia matunda yako. Bado una nafasi ya kurekebisha makosa ya jana wako.
 
Uzee ni dawa, mzee ni baraka, uzee ni shukrani kwa Mungu kwamba amekuchagua na wewe uishi uishi miaka mingi uone mengi. Jiandae zaid baada ya miaka 10 ijayo upumzke kufurahia matunda yako. Bado una nafasi ya kurekebisha makosa ya jana wako.
Inabidi awe mzee mwenye pesa sasa ndio izo baraka na matunda unayo yasema ata yaona ,vinginevo ataesabiwa kua ni mjinga fulan tu alozeeka πŸ˜ƒπŸ˜ƒ tena anaweza akatuhimiwa na uchawi kabisa,
 
Achana na uo uzee,pambania kubunda tu ujana unakuja automatic ,ukipiga passport tena mwenyewe itafurahi,umaskini ni m'baya sana mwili wako mwenyewe unakugeuka
 
inategemea kamera mkuu, ya infinix sio sawa na ya samsung, techo, i phone, badili cm
 
Yaani kioo kikudanganye lakini picha ikuoneshe uhalisia?

Elimu ya fizikia umeisoma wapi mzee?
Labda kioo chake ni kidogo yaani kile cha kufunga jicho moja ndio ajione vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…