Baada ya kupokea tuzo ya Champion of Comedy Rais Samia ndiye atapokea tuzo ya Champion wa uchaguzi mkuu wa amani Tanzania October 2025

Baada ya kupokea tuzo ya Champion of Comedy Rais Samia ndiye atapokea tuzo ya Champion wa uchaguzi mkuu wa amani Tanzania October 2025

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Na hilo ndilo litakalothibitisha kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan habahatishi na yeye pekee ndie champion of everything in Tanzania,

Ni champion wa wa amani na maridhiano, ni champion wa utalii, ni champion wa mazingira, ni champion wa afya, ni champion wa kilimo, ni champion wa ufugaji, uvuvi na usafishaji, ni champion wa miundombinu na biashara, ni champion wa michezo n.k

Kubwa kuliko sasa ni October,
dalili za wazi ni kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan, atakua ndio champion wa kitaifa katika uchaguzi mkuu wa vyama vingi nchini October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
1740036881746.jpg
 
Na hilo ndilo litakalothibitisha kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan habahatishi na yeye pekee ndie champion of everything in Tanzania,

Ni champion wa wa amani na maridhiano, ni champion wa utalii, ni champion wa mazingira, ni champion wa afya, ni champion wa kilimo, ni champion wa ufugaji, uvuvi na usafishaji, ni champion wa miundombinu na biashara, ni champion wa michezo n.k

Kubwa kuliko sasa ni October,
dalili za wazi ni kwamba Dr.Samia Suluhu Hassan, atakua ndio champion wa kitaifa katika uchaguzi mkuu wa vyama vingi nchini October mwaka huu 2025🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Tuzo zote anapata kwa kushindana mwenyewe!
Alafu wasanii na na comedian wenzake wanampongeza!
Ujinga wa uji uji kipeuo cha 2!
 
Tuzo zote anapata kwa kushindana mwenyewe!
Alafu wasanii na na comedian wenzake wanampongeza!
Ujinga wa uji uji kipeuo cha 2!
mshindi hashindani gentleman,
anashinda tu kimkakati zaidi sio kwa makelele, utapeli na mdomo kama wengine 🐒
 
Una maana madam president is a comedian like Zelenskiy?
Astaghafirullah
kama alivyokua ni champion wa utalii nchini, haina maana kwamba anatalii sana.

kama alivyokua ni champion wa mazingira, amani na maridhiano, anawakilisha washindi wa utalii, amani na maridhiano wengine,

kama alivyokua ni champion katika kilimo, uvuvi, usafishaji, elimu, afya and ufugaji n.k Dr Samia Suluhu Hassan anawakilisha machampion wote maeneo hayo,

hata October mwaka huu kwa mfano,
Dr.Samia Suluhu Hassan atakua champion uchaguzi mkuu, akiwakilisha vyama vingine vya siasa katika mchakato wa kidemokrasi na kuongoza nchi 🐒
 
Kwani Hy Tuzo ,mh alishawahi kuchekesha mpk apewe
Infact,
hajawahi kufundisha lakini Dr.Samia Suluhu Hassan ndio champion wa elimu nchini.

Na hata October mwaka huu kwenye uchaguzi mkuu, hakuna shaka yoyote Dr.Samia Suluhu Hassan atatangazea kua champion wa uchaguzi mkuu katika mchakato wa kidemokrasi akiwakilisha vyama vingine vya siasa kuunda serikali na kuongoza nchi 🐒
 
Tanzania ukishakuwa rais hata kama nafasi hiyo uliipata Kwa mserererko wa urithi utaonekana kama wewe huwezi kukosea hata mara Moja.utapewa tuzo hata ya kula mboga nzuri
 
Back
Top Bottom