Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #21
infact,Tanzania ukishakuwa rais hata kama nafasi hiyo uliipata Kwa mserererko wa urithi utaonekana kama wewe huwezi kukosea hata mara Moja.utapewa tuzo hata ya kula mboga nzuri
ni uhuru na haki ya kila kundi katika jamii na kila mTanzania mzalendo kuthamini na kutambua jitihada za kiongozi mkuu wa Taifa Dr.Samia Suluhu Hassan kadiri anavyoona inafaa.🐒