Baada ya kurudi masomoni, nimemkuta na ujauzito, nifanyaje?

Baada ya kurudi masomoni, nimemkuta na ujauzito, nifanyaje?

Dah kiukweli kwanza mimba ni ya njema nyingine so wala usipoteze muda na DNA.
Piga Chini coz huyo ni demu sio mke yaani hata hamjaoana tayari stress sasa ukimwoa ukapata kazi ghana si ndio itakuwa balaa?
 
ha ha ha ha hahahhahahaha kweli unaelimu sifuri.. hata hili umeshindwa kuchanganua? huna akili.. utakuwa umemtumia mbegu kwenye whats app
 
Sasa ushaur wa nn sisi tukupe!! nyie wanaume wa siku hiz mna matatzo sn, sasa mtu uchapiwe wew unataka tukupe sisi ushauri haya endelea nae ulee na mimba baba..

Mbna kizazi hiki mnakosa maamuz kwenye maisha yenu, mwanaume wa kwel ni yule anaeweza kufanya maamuz magumu kwenye maisha yake kwa manufaa yake au manufaa ya familia yake, hyo ni sifa kubwa ya m'ume.

Haya wew unatoka wap na upungufu wa sifa hyo.!! endelea nae ulee mimba wala usihangaike kutafuta ilikuaje. Maana we unasikiliza sn ushaur wa watu kuliko moyo wako..
 
Hapana muache aolewe na huyo aliyempa mimba, sasa wewe wa nini tena au ndo huwezi kuishi bila yeye? au yeye amesema hataki umuache? au muhusika wa mimba amekimbia unataka umlee wewe?. Labda ueleze mazingira yaliyofuata baada ya kupewa hiyo mimba zen ndo tukushauri. Ila kwa hilo simple tu muachie baba mtoto/watoto mtarajiwa mkewe. (japo inauma pole sana)
 
kazi yake mola haina makosa kama unampenda usimuache.kitanda hakizai haramu:embarrassed1::rockon:
 
Kama ana mimba na si yako unasubiri ushauri gani
 
Sasa unamkuta mpenzi wako ana ujauzito wa miezi miwili halafu unakuja JF kuomba ushauri?

Sasa unataka tukiambie nini wakati jibu unalo?

Kilichokufanya uje uombe ushauri hapa ni nini?

Bado anampenda anataka tumpe support.
 
Wewe ulikata mawasiliano sasa ulitegemea nini, alienacho huongezewa mpachike tu ya pili
 
Mliahidiana kuoana akiwa mjamzito kwa ujauzito wa mwingne!? Pembua!!!
 
Jibu liko wazi; ingekua unamtaka sidhani kama ungetuambia!
Chagua moja - Kusuka au kunyoa!
 
Back
Top Bottom