Baada ya kusemwa kuwa ni Tawi lao na Wanawadhamini pia wameamua Kuzuga kwa kuwafunga Goli Moja na wakiongeza sana basi Mawili tu leo

Baada ya kusemwa kuwa ni Tawi lao na Wanawadhamini pia wameamua Kuzuga kwa kuwafunga Goli Moja na wakiongeza sana basi Mawili tu leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na huu Mpira nautizama YouTube naona kabisa Pamba SC wako tayari hata Kufungwa Goli 10 ila Jamaa wanaona Aibu.
 
Trend ya Yanga mzunguko wa 2, Leo akishinda nyingi mechi inayofuata chache ama sare, sasa Pamba wapo kwenye mzunguko wa chache na 5imba wapo kwenye nyingi
Wallah tena hii trend imekaa vizuri sana. Vijana wamehifadhi nguvu zao kwa ajili ya tarehe 8, huku wapinzani wao wakitakiwa kupambana ili kupata matokeo dhidi ya watata Coastal Union.
 
Na huu Mpira nautizama YouTube naona kabisa Pamba SC wako tayari hata Kufungwa Goli 10 ila Jamaa wanaona Aibu.
hapa mtani wangu wa makolo umechemka, na ninaamini ni kusudi!maana najua kabisa unafahamu PAMBA ni tawi lako!na mm kama YANGA kipindi kile cha Pamba ya kina Rwechungura, mshaki wako Hussein Masha, masatu, dani mhoja, madata lubigisa, mwanangu mwenyewe fumo felician, himid mao mkami ie ball dancer, alphonce modest etc, YANGA tulikua tunatseka sana mechi na Pamba!lkn ww ulikuwa unateseka sana mechi na toto Africa!so huyu pamba ni mwanao kabisaaa
 
Ndicho kilicho tokea kwa side na said mnaazimana mpaka makocha.
 
Back
Top Bottom