Baada ya kusex sijielewi, nimepata uchovu siku mbili na mwili unawasha, msaada please

Sikuizi kama ni maradhi watu wanayo na yakikuingia yanaanza kufanya kazi siku hiohio
 
Busa
yaani wewe tayari una UKIMWI hizo ndizo dalili, wiki ijayo utaanza kuharisha alafu utarest in peace
Busara kidogo basi inahitajika. Mwenzio anahitaji msaada wa tatizo linalomsibu we umeshaconlude wakati si dokta. Hata dokta hakimbilii conclusion kama wewe mpaka afanye vipimo kwanza. Hili ni jukwaa la Great Thinkers. We Low Thinker umevamia sehemu isiyokuhusu...
 
Umenena vyema ndugu..
 
Kwanini hukutumia Kondom?
 
Dogo usiofu sana mwili wako unaonekana ujafannya mazoezi muda.. pia umekutana na washambuliaji odali wa jukwaa kakukamua vyakutosha ukazama na njaa za karine matokeo yake ndo hayo.
 
Hilo ni tatizo linalowapata watu wanao okota okota hovyo wasichana wa barabarani...ebu tuambie huyo msichana umejuana naye toka lini?
 
Wewe itakuwa ulikuwa na maradhi mengine, ulipopiga game umeyaamsha, ni kama vile ukiwa si mtu wa mazoezi halaf una kihoma kinakufukuzia kimya kimya.. siku utakayoenda kupasha itaibuka homa ya kukulaza kitandani ushindwe kuelewa.


Hyo mosi, pili hvyo vichomi ni pande zipi za mwili, uchovu inategemea na game ilikuwaje na wewe uwezo wako ukoje.
 
Usiwe na wasi x2 inawezekana ulikuwa tayari na maambukizi ya uti sasa baada ya shughuli pevu ukaiamsha au huyo bidada ndiye kakuambukiza. Ushauri : mpeleke naye akapimwe na kupata dawa ili muwe salama na kuinjoy bibo
 
Jikite zaidi kwenye ushauri wa daktari
huku tunakuja kupunguza misongo ya mawazo
ole wako ukutane na mtu mwenye misongo
ya mawazo a.k.a mafrustrations utakosa usingizi.
Kama una UTI kunywa maji mengi upate mkojo mwingi.
itakusaidia pamoja na dawa ulizopewa na daktari.
 
Utakuwa ulipata maambukizi ya bakteria kwenye damu yako ,kapime magonjwa ya zina yote Fanya haraka sannnnaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu, nenda kapime magonjwa ya zinaa..

Dalili za kuwashwa mwili, tena zitokanazo ni sex ni dalili za syphilis..

Pole Sana kiongozi, na huyu mwanamke, kama ni demu wako wa kudumu, please nenda kapime naye.

Ila kama ni wa kuokota tuu, please ukipata tiba husirudi tena kwake.
 
Dogo usiofu sana mwili wako unaonekana ujafannya mazoezi muda.. pia umekutana na washambuliaji odali wa jukwaa kakukamua vyakutosha ukazama na njaa za karine matokeo yake ndo hayo.
Mtu mwenyewe kapiga kimona it means dakika 5 to 10 so hajakamuliwa wala nini.....ashapata wadudu
 
Ndio ilikuwa mara ya kwanza..niliishia goli moja.. Umri 23yrs
Sorry mkuu kwa kuchelewa kukujibu naomba unijibu swali la mwisho

Je ID yako ya siku zote ni ipi? achana na hii mpya

ukijibi hili naku pm namba zangu uje hapa kairuki
 
Majibu ya wachangiaji wengi yamenichekesha sana. Usiogope huna tatizo lolote. Ulikuwa na uti muda mrefu ilikwa haijalipuka; uchovu wa mikikimikiki ya kugegeda ndio ikailipua. Hakikisha unatibiwa UTI vizuri na ukimaliza doz pima tena hadi iishe kabisa. Jifunze kukabiliana na UTI. Jitunze. Fanya ngono salama. Furahia na tunza maisha yako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…