Baada ya kusex sijielewi, nimepata uchovu siku mbili na mwili unawasha, msaada please

Inakera Mtu anapoleta utani kwenye suala la usirias mkuu,Mtu anahitaji ushauri kama Mtu hana ushauri ni bora akapita kimya kimya,kuliko kuleta majibu ya ki Fb
 
Either ulikaa mda mrefu bila kupiga au umepiga mimba au ume...
 
Mkuu upo salama,wala usihofu,muhimu kapime mchafuko wa damu au una msongo wa mawazo
 
Iyo ni hepatitis B kapime Kama unayo wambie wambie wakuchome pentavalent vaccine bega la kushoto cc 1 kish kaa siku mbili ndo upime tena Kama ipo bado choma tena mpk apo doz umefinish
 
kapime damu kubwa.uanze dozi mapema
 
Dah.... Kibao kimoja tu? Tena una 23yrs.....tena ulipiga kavu.bila kimung'unya maneno....huu si ushujaa...ni ujinga tu..pole sana[emoji87]
 
Aiyyyaaaaa, atakua kashakuambukiza hilo tatizo jingine hilo...inabidi ukapime tatizo jingine aisee, dah!
 
Mkuu upo salama,wala usihofu,muhimu kapime mchafuko wa damu au una msongo wa mawazo
kwa kweli baada ya kuamka siku iliyofuata niliingiwa na hofu pamoja na mawazo karibu wiki nzima... nadhani hata mawazo inaweza kuwa sababu
 
kwa kweli baada ya kuamka siku iliyofuata niliingiwa na hofu pamoja na mawazo karibu wiki nzima... nadhani hata mawazo inaweza kuwa sababu
Nina imani msongo wa mawazo ndiyo unaokuathiri mkuu mkuu,jaribu kuupotezea hiyo hali na ubaki unajiamin kama mwanzo,japo nnaamin hiyo hali haiwez kukuondoka kwa haraka,ila itakuwa taratibu tu
 
Hamnaa kitu ngumu kama kupiga ile shughulii kama unakuwa na kimalariaa ndan ndan ukapigaa mzigo ni rahis kutibukaa na kama umekutana na uti ndo hatari kabisa
ile shughuli wakati mwingine ni kipimo tosha kwangu juu ya marelia. maana kama nna marelia miguu na maungio yote inalegea si kidogo
 
ile shughuli wakati mwingine ni kipimo tosha kwangu juu ya marelia. maana kama nna marelia miguu na maungio yote inalegea si kidogo
Na ndo mpaka upate dawa kamil ya maleria au ugonjwa husika ile kitu nikipimo pia cha mwili kama una kalikejii mahali utapataa tuu signal[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…