Baada ya kusex usiku kucha alinipa tsh 2000 tu😭💔

Duuh pole sana, alipiga bao ngapi? Hebu muanike hapa tumtafutie cheo haraka kwenye chama chetu. Inaonekana ni mhudhuriaji mzuri wa vikao vyetu
 
Naomba namba yako mi ntakulipa elfu 4
 
Kwa hiyo sexual activity is equal to these other legal economic activites that people do to make their ends meet ?
 
🤣 Huyo jamaa anatumia akili Mnemba
 
Ungedeclare unauza ukaweka bei mezani. Angebargain mngeishia hata laki😅
 
Hivi ni sahihi mwanaume wa miaka 49 kuitwa mkaka instead of mzee wa miaka 49
 
49 years sio mkaka uyo ni m'babu
Na 44 ni mbibi
Inshort nyie ni vikongwe watarajiwa mnapasha makabichi tu.
 
Mimama ya Dar inapitia wakati mgumu sana! Yaani miaka 44 anaomba hela ya mboga? Elfu 2 mara elfu 5 na anatoa na baraka!
 
Kuna mizee inapuliza mpaka wamama wanaombapo! Vijana hawaon ndani na vijana wenyewe ndio hawa wala chips dume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…