Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChaiHabari Yako kaka magical power View attachment 3159935Naomba ushauri kidogo kama unaweza kunishauri naitwa lea nina miaka 44 nimtu mzima😭💔, nilikutana na mkaka mtandaoni ambaye yy ana miaka 49.
Tukawasiliana hatimae tukaonana ijumaa iliyopita kweli akanieleza mahusiano yake yaliopita na jinsi alivyomsaidia yule dada mpaka walivyoachana
Kweli tukasex usiku kucha baada ya hapo alinipa sh 2000 elf 2 tu🙊nikapokea vizur tu
Baada ya kupita siku kadhaa nikamuomba anisaidie pesa ninnue vyakula vya ndani ananiambia sawa jumnne nitakuja nikuletee sababu aliniambia yeye ni mfanyabiashara.
Basi jumanne akanichatisha tukachat akaniambia tutaonana saa kumi ilipofika saa kumi na mimi nikamuacha tu saa kumi na mbili akanichatisha akauliza uko wp nikamjibu nipo nyumbani akasema nimechelewa kurudi ndio natoka bagamoyo nikamjibu sawa.
Kesho yake akanichatisha hakuongelea juu ya pesa niliyoomba jana akanichatisha kunisalimia nikamjibu kwetu huku njaa ukizingatia tumesimama hatufanyi kazi kkoo akasema sawa ntakutumia elf tano nikasema mungu akubaliki ilipofika jioni kanichtisha akasema mvua inanyesha sana so hakutuma hiyo elf tano.
Leo kanisalimia anasema kitovu kinamuuma je haya mahusiano ni sahihi kwangu?
Naomba msaada wako kujua😭
Hahaha 49 yrs anasma eti ni Mkaka?Maisha ni magumu sana huku mtaani sishangai we kupewa 2000 huenda jamaa nae pake pakavu kuliko hata kwako
Na sishangai kuomba 5000 kwa udi na uvumba ground mambo yanazidi kuwa hatari
Ila kusema mkasex usiku kucha huku mkiwa ni wazee wa taifa hili sio kweli
Mlipiga 2 vyenu mkaanza kuilaumu serikali
Hili sio jambo jipya labda kwa mgeni wa jiji..Habari Yako kaka magical power View attachment 3159935Naomba ushauri kidogo kama unaweza kunishauri naitwa lea nina miaka 44 nimtu mzima😭💔, nilikutana na mkaka mtandaoni ambaye yy ana miaka 49.
Tukawasiliana hatimae tukaonana ijumaa iliyopita kweli akanieleza mahusiano yake yaliopita na jinsi alivyomsaidia yule dada mpaka walivyoachana
Kweli tukasex usiku kucha baada ya hapo alinipa sh 2000 elf 2 tu🙊nikapokea vizur tu
Baada ya kupita siku kadhaa nikamuomba anisaidie pesa ninnue vyakula vya ndani ananiambia sawa jumnne nitakuja nikuletee sababu aliniambia yeye ni mfanyabiashara.
Basi jumanne akanichatisha tukachat akaniambia tutaonana saa kumi ilipofika saa kumi na mimi nikamuacha tu saa kumi na mbili akanichatisha akauliza uko wp nikamjibu nipo nyumbani akasema nimechelewa kurudi ndio natoka bagamoyo nikamjibu sawa.
Kesho yake akanichatisha hakuongelea juu ya pesa niliyoomba jana akanichatisha kunisalimia nikamjibu kwetu huku njaa ukizingatia tumesimama hatufanyi kazi kkoo akasema sawa ntakutumia elf tano nikasema mungu akubaliki ilipofika jioni kanichtisha akasema mvua inanyesha sana so hakutuma hiyo elf tano.
Leo kanisalimia anasema kitovu kinamuuma je haya mahusiano ni sahihi kwangu?
Naomba msaada wako kujua😭
Ndonilichoshangaa aisee unapewaje elfu2 kwa umri huo44years unahitaji moja kwa moja pesa ya kula kutoka kwa mwanaume , shame on you!!!
Omba ata ela ya mtaji dad yangu japo ilipaswa ata akukute na biashara.
Malizia mkanda mkuu Ili watu waendelee kujifunza,mana mm nikiletaga apa majobless utaskia chai chai,sijui yanakuaga na njaa Kali ndo mana yanataja chai Kila mda🤷🏽♂️😂😂😂Wengi watapinga Ila ukweli ni kwamba mwanamke yeyote. anataka pesa,
Ngoja niwaambie kitu kilichonikuta Mimi,
Mwakajuzi yaani 2022 nilivutiwa na mwanamke mmoja ambaye kwangu nilimuona ni mtulivu mno akiwa ni single mama wa muda mrefu baada ya kuachana na mumewe hivyo akawa yupo Tu na mishe zake.
Ni mama mtu mzima mwenye hekima zake na ni mshauri mzuri mnooo. Mwanzo alikuwa kama rafiki Tu,Ila kwakuwa hakuna urafiki Kati ya Simba na swala nikajikuta nimefunguka ninayoyajua.ni mtu kanizidi wadhifa na kipato mara ngapi sijui
Siku za mwanzo alisita Ila baadaye akakubali huku akidai ni vyema tutoke nje ya mkoa ndipo tutaweza kuwa huru zaidi akidai huu mji kuna wengi anaheshimiana nao.
Basi Mimi nikiwa kama Alfa nikajikusanya na kuandaa wallet ambayo itakidhi misafara huku nikifikiri hata yeye atajiongeza maana ni Malkia wa nguvu mjini akiwa na Mshahara mnono kabisa .
Basi nikiwa nishajipanga na safari ya kuelekea mkoa X akaniambia kaghairi kwenda mkoa huo na hataki kusafiri na Gari Kwa muda mrefu ,akasemq nikitaka, tupange siku nyingine twende nchi jirani Kwa flight.
Nilichukia Sana baada ya kuahirisha safari Ila nilikuwa mvumilivu maana sikutaka kumkosa ingekuwa dharau ni Bora nisingemtamkia namtaka.
Ila kilichonipa Imani ni baada ya yeye kunipa Imani kuwa gharama za usafiri HAZITASUMBUA "
Nikaona siyo kesi ,nikaandaa wallet nyingine inayoendana na sehemu tunapoenda.
Siku hazigandi, siku ilifika tukafika nchi jirani huku nikifurahia Ile safari,kwanza nikubadili mazingira, pili nilikuwa naenda Kula Mali ambayo ina ushawishi hapa nchini
Kumbukeni Mimi napenda mtu ambaye ana fame ndiyo ugonjwa wangu,Haswa wakiwa kwenye hizi Idara.
Basi mwanamke alikuwa mjanja Sana ,akawa kila kitu nitafute cha bei rahisi
Yaani kuanzia Hotel tutayolala na hata Restaurants akasisitiza zisiwe expensive.
Nikaona huyu anajitambua,
Tukiwa tupo kwenye Gari ndogo tuliyokodi kwaajili ya mizunguko yote aliniuliza .
Daniel unanipenda?
au Una tamaa tu ,maana wanaume nyinyi hamueleweki lengo unitumie kisha unibwage.
Nikamjibu kuwa vitendo vyangu vitaonesha ni jinsi gani nampenda ,nikajigamba kuwa Mimi siyo mvulana eti nimuongopee. ( Hapa nilijaa kwenye mtego)
Alijibu Kwa kutikisa kichwa kisha akachukua mkono wangu na kuubusu.
Nilisisimka mno tamaa ya ngono ilikuwa kiwango cha juu.
Tulifanya yetu ndani ya siku tano tukaenjoy lakini cha kushangaza mama wa watu hakutoa hata Mia mbovu licha ya kunihakikishia ataclear.
Baada ya Mimi kuona mizigo inapungua ikabidi nimchane kuwa Mimi sina kitu kama tunataka kuendelea ili ifike wiki moja kama tulivyopanga basi asolve baadhi ya vitu.
Akanijibu mbona aliuliza tangu mwanzo, nampenda? Akasema kama kuna pesa nimepungukiwa ,atanikopesha Kwa makubaliano maalumu.
Aisee ilikuwa siku mbaya ,nikasema basi tugeuze hata kabla siku tulizopanga hazijafika ,akasema sawa huku akinilaumu eti kwanini nilitengeneza safari ikiwa sina bajeti ya kutosha?
Nikamwambia siyo kesi ,wewe nikopeshe nikirudi nitakupa lengo nimdhulumu nikijua nikirudi hatonipata weeeeee.
Kuna wamama Wana nguvu na tagi hapa mjini usithubutu,
Nusura yanitokee puani,nyie endeleeni Tu na umalaya
Ha ha ha ha nimempenda bure huyo mama mpe maua yakeWengi watapinga Ila ukweli ni kwamba mwanamke yeyote. anataka pesa,
Ngoja niwaambie kitu kilichonikuta Mimi,
Mwakajuzi yaani 2022 nilivutiwa na mwanamke mmoja ambaye kwangu nilimuona ni mtulivu mno akiwa ni single mama wa muda mrefu baada ya kuachana na mumewe hivyo akawa yupo Tu na mishe zake.
Ni mama mtu mzima mwenye hekima zake na ni mshauri mzuri mnooo. Mwanzo alikuwa kama rafiki Tu,Ila kwakuwa hakuna urafiki Kati ya Simba na swala nikajikuta nimefunguka ninayoyajua.ni mtu kanizidi wadhifa na kipato mara ngapi sijui
Siku za mwanzo alisita Ila baadaye akakubali huku akidai ni vyema tutoke nje ya mkoa ndipo tutaweza kuwa huru zaidi akidai huu mji kuna wengi anaheshimiana nao.
Basi Mimi nikiwa kama Alfa nikajikusanya na kuandaa wallet ambayo itakidhi misafara huku nikifikiri hata yeye atajiongeza maana ni Malkia wa nguvu mjini akiwa na Mshahara mnono kabisa .
Basi nikiwa nishajipanga na safari ya kuelekea mkoa X akaniambia kaghairi kwenda mkoa huo na hataki kusafiri na Gari Kwa muda mrefu ,akasemq nikitaka, tupange siku nyingine twende nchi jirani Kwa flight.
Nilichukia Sana baada ya kuahirisha safari Ila nilikuwa mvumilivu maana sikutaka kumkosa ingekuwa dharau ni Bora nisingemtamkia namtaka.
Ila kilichonipa Imani ni baada ya yeye kunipa Imani kuwa gharama za usafiri HAZITASUMBUA "
Nikaona siyo kesi ,nikaandaa wallet nyingine inayoendana na sehemu tunapoenda.
Siku hazigandi, siku ilifika tukafika nchi jirani huku nikifurahia Ile safari,kwanza nikubadili mazingira, pili nilikuwa naenda Kula Mali ambayo ina ushawishi hapa nchini
Kumbukeni Mimi napenda mtu ambaye ana fame ndiyo ugonjwa wangu,Haswa wakiwa kwenye hizi Idara.
Basi mwanamke alikuwa mjanja Sana ,akawa kila kitu nitafute cha bei rahisi
Yaani kuanzia Hotel tutayolala na hata Restaurants akasisitiza zisiwe expensive.
Nikaona huyu anajitambua,
Tukiwa tupo kwenye Gari ndogo tuliyokodi kwaajili ya mizunguko yote aliniuliza .
Daniel unanipenda?
au Una tamaa tu ,maana wanaume nyinyi hamueleweki lengo unitumie kisha unibwage.
Nikamjibu kuwa vitendo vyangu vitaonesha ni jinsi gani nampenda ,nikajigamba kuwa Mimi siyo mvulana eti nimuongopee. ( Hapa nilijaa kwenye mtego)
Alijibu Kwa kutikisa kichwa kisha akachukua mkono wangu na kuubusu.
Nilisisimka mno tamaa ya ngono ilikuwa kiwango cha juu.
Tulifanya yetu ndani ya siku tano tukaenjoy lakini cha kushangaza mama wa watu hakutoa hata Mia mbovu licha ya kunihakikishia ataclear.
Baada ya Mimi kuona mizigo inapungua ikabidi nimchane kuwa Mimi sina kitu kama tunataka kuendelea ili ifike wiki moja kama tulivyopanga basi asolve baadhi ya vitu.
Akanijibu mbona aliuliza tangu mwanzo, nampenda? Akasema kama kuna pesa nimepungukiwa ,atanikopesha Kwa makubaliano maalumu.
Aisee ilikuwa siku mbaya ,nikasema basi tugeuze hata kabla siku tulizopanga hazijafika ,akasema sawa huku akinilaumu eti kwanini nilitengeneza safari ikiwa sina bajeti ya kutosha?
Nikamwambia siyo kesi ,wewe nikopeshe nikirudi nitakupa lengo nimdhulumu nikijua nikirudi hatonipata weeeeee.
Kuna wamama Wana nguvu na tagi hapa mjini usithubutu,
Nusura yanitokee puani,nyie endeleeni Tu na umalaya
Shukuru wenzio wanaliwa bure kabisa hata buku hawapewi.Habari Yako kaka magical power View attachment 3159935Naomba ushauri kidogo kama unaweza kunishauri naitwa lea nina miaka 44 nimtu mzima😭💔, nilikutana na mkaka mtandaoni ambaye yy ana miaka 49.
Tukawasiliana hatimae tukaonana ijumaa iliyopita kweli akanieleza mahusiano yake yaliopita na jinsi alivyomsaidia yule dada mpaka walivyoachana
Kweli tukasex usiku kucha baada ya hapo alinipa sh 2000 elf 2 tu🙊nikapokea vizur tu
Baada ya kupita siku kadhaa nikamuomba anisaidie pesa ninnue vyakula vya ndani ananiambia sawa jumnne nitakuja nikuletee sababu aliniambia yeye ni mfanyabiashara.
Basi jumanne akanichatisha tukachat akaniambia tutaonana saa kumi ilipofika saa kumi na mimi nikamuacha tu saa kumi na mbili akanichatisha akauliza uko wp nikamjibu nipo nyumbani akasema nimechelewa kurudi ndio natoka bagamoyo nikamjibu sawa.
Kesho yake akanichatisha hakuongelea juu ya pesa niliyoomba jana akanichatisha kunisalimia nikamjibu kwetu huku njaa ukizingatia tumesimama hatufanyi kazi kkoo akasema sawa ntakutumia elf tano nikasema mungu akubaliki ilipofika jioni kanichtisha akasema mvua inanyesha sana so hakutuma hiyo elf tano.
Leo kanisalimia anasema kitovu kinamuuma je haya mahusiano ni sahihi kwangu?
Naomba msaada wako kujua😭
Watoto wadogo hao achana nao,Malizia mkanda mkuu Ili watu waendelee kujifunza,mana mm nikiletaga apa majobless utaskia chai chai,sijui yanakuaga na njaa Kali ndo mana yanataja chai Kila mda🤷🏽♂️😂😂😂
Wazee wa 40+ wakachapana usiku kucha🤣🤣🤣🤣Maisha ni magumu sana huku mtaani sishangai we kupewa 2000 huenda jamaa nae pake pakavu kuliko hata kwako
Na sishangai kuomba 5000 kwa udi na uvumba ground mambo yanazidi kuwa hatari
Ila kusema mkasex usiku kucha huku mkiwa ni wazee wa taifa hili sio kweli
Mlipiga 2 vyenu mkaanza kuilaumu serikali
Haaa kumbe na wewe walewaleHa ha ha ha nimempenda bure huyo mama mpe maua yake
On point 👏🏾👏🏾👏🏾Watoto wadogo hao achana nao,
Yaani mtu Utunge stori ili ikusaidie nini ,
Tatizo letu linalotufanya tuwe na hasira ni kipato kidogo na kutokuwa na uhakika wa maisha
Ataki utani kwenye swala la hela maana me wa siku hizi wanapenda sana mtelezoHaaa kumbe na wewe walewale
Mkuu ilikuwaje, story yako nimeipenda.Haaa kumbe na wewe walewale
Ndio huyo kwenye picha? Kama mzuri nitumie namba inbox watunzaji tupoHabari Yako kaka magical power View attachment 3159935Naomba ushauri kidogo kama unaweza kunishauri naitwa lea nina miaka 44 nimtu mzima😭💔, nilikutana na mkaka mtandaoni ambaye yy ana miaka 49.
Tukawasiliana hatimae tukaonana ijumaa iliyopita kweli akanieleza mahusiano yake yaliopita na jinsi alivyomsaidia yule dada mpaka walivyoachana
Kweli tukasex usiku kucha baada ya hapo alinipa sh 2000 elf 2 tu🙊nikapokea vizur tu
Baada ya kupita siku kadhaa nikamuomba anisaidie pesa ninnue vyakula vya ndani ananiambia sawa jumnne nitakuja nikuletee sababu aliniambia yeye ni mfanyabiashara.
Basi jumanne akanichatisha tukachat akaniambia tutaonana saa kumi ilipofika saa kumi na mimi nikamuacha tu saa kumi na mbili akanichatisha akauliza uko wp nikamjibu nipo nyumbani akasema nimechelewa kurudi ndio natoka bagamoyo nikamjibu sawa.
Kesho yake akanichatisha hakuongelea juu ya pesa niliyoomba jana akanichatisha kunisalimia nikamjibu kwetu huku njaa ukizingatia tumesimama hatufanyi kazi kkoo akasema sawa ntakutumia elf tano nikasema mungu akubaliki ilipofika jioni kanichtisha akasema mvua inanyesha sana so hakutuma hiyo elf tano.
Leo kanisalimia anasema kitovu kinamuuma je haya mahusiano ni sahihi kwangu?
Naomba msaada wako kujua😭
Kwani alitaka apewe shilingi kwa bao moja au kwa usiku mmoja?Habari Yako kaka magical power View attachment 3159935Naomba ushauri kidogo kama unaweza kunishauri naitwa lea nina miaka 44 nimtu mzima😭💔, nilikutana na mkaka mtandaoni ambaye yy ana miaka 49.
Tukawasiliana hatimae tukaonana ijumaa iliyopita kweli akanieleza mahusiano yake yaliopita na jinsi alivyomsaidia yule dada mpaka walivyoachana
Kweli tukasex usiku kucha baada ya hapo alinipa sh 2000 elf 2 tu🙊nikapokea vizur tu
Baada ya kupita siku kadhaa nikamuomba anisaidie pesa ninnue vyakula vya ndani ananiambia sawa jumnne nitakuja nikuletee sababu aliniambia yeye ni mfanyabiashara.
Basi jumanne akanichatisha tukachat akaniambia tutaonana saa kumi ilipofika saa kumi na mimi nikamuacha tu saa kumi na mbili akanichatisha akauliza uko wp nikamjibu nipo nyumbani akasema nimechelewa kurudi ndio natoka bagamoyo nikamjibu sawa.
Kesho yake akanichatisha hakuongelea juu ya pesa niliyoomba jana akanichatisha kunisalimia nikamjibu kwetu huku njaa ukizingatia tumesimama hatufanyi kazi kkoo akasema sawa ntakutumia elf tano nikasema mungu akubaliki ilipofika jioni kanichtisha akasema mvua inanyesha sana so hakutuma hiyo elf tano.
Leo kanisalimia anasema kitovu kinamuuma je haya mahusiano ni sahihi kwangu?
Naomba msaada wako kujua😭
Tena nilikoma Kwanza wanataka kubembelezwa sana,pili ni wazito,wavivu hii ni kutokana umaarufu waoMkuu ilikuwaje, story yako nimeipenda.
Mimi najua tu wanawake wenye fame na muonekano wa nje kuwa na pesa sio wazuri kwenye mahusiano, wanakupa stress tu.
Upo sahihi kabisa, uwape priority kwa kila kitu, sex apange yeye tena ratiba akupe yeye, pamoja na hizo pesa zake lakini huduma utatoa wewe, shida sio kutoa huduma, ni lazima uitoe kwa viwango vya juu(standard zake).Tena nilikoma Kwanza wanataka kubembelezwa sana,pili ni wazito,wavivu hii ni kutokana umaarufu wao