Baada ya kushinda lalamiko dhidi ya Juma Choki, Loren Japhet apeleka tena malalamiko dhidi ya Nasibu Ramadhan.

Baada ya kushinda lalamiko dhidi ya Juma Choki, Loren Japhet apeleka tena malalamiko dhidi ya Nasibu Ramadhan.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Nilishasema huyu kijana huwa wanamuonea sana linapokuja suala la maamuzi.

Kule lile pambano ambalo alicheza na Juma Choki na ushindi akapewa Juma Choki aisee ule uamuzi wengi tuliutilia mashaka uamuzi sahihi ulikuwa apewe ushindi Loren Japhet au matokeo yawe sare.

Loren Japhet alipeleka malalamiko yake kwenye Baraza la michezo la taifa (BMT) na Baraza baada ya kujiridhisha vizuri hatimaye wakatengua ushindi wa Juma Choki na kutoa sare .

Sasa kuna hili pambano la juzi kati dhidi ya Nasibu Ramadhan ,hili pambano nalo limejaa utata wengi wanaamini Loren ameshinda.

Loren hajasita kupeleka malalamiko yake kwenye Baraza la michezo la taifa BMT kwa mara nyingine tena hivyo tunatarajia majibu mazuri kutoka BMT .
 
Lile pambano alipoteza, narudia tena alipoteza maana alipigwa na kuanguka
 
Nilishasema huyu kijana huwa wanamuonea sana linapokuja suala la maamuzi.

Kule lile pambano ambalo alicheza na Juma Choki na ushindi akapewa Juma Choki aisee ule uamuzi wengi tuliutilia mashaka uamuzi sahihi ulikuwa apewe ushindi Loren Japhet au matokeo yawe sare.

Loren Japhet alipeleka malalamiko yake kwenye Baraza la michezo la taifa (BMT) na Baraza baada ya kujiridhisha vizuri hatimaye wakatengua ushindi wa Juma Choki na kutoa sare .

Sasa kuna hili pambano la juzi kati dhidi ya Nasibu Ramadhan ,hili pambano nalo limejaa utata wengi wanaamini Loren ameshinda.

Loren hajasita kupeleka malalamiko yake kwenye Baraza la michezo la taifa BMT kwa mara nyingine tena hivyo tunatarajia majibu mazuri kutoka BMT .
Juma Choki ndio Ally Choki mzee wa Farasi au ndio Halid Chokoraa?
 
Back
Top Bottom